Joyce Kiria Ageukia CCM

Joyce Kiria Ageukia CCM

Huyu angekuja kuwa Kama Josephine Mshumbusi Yule Delira wa wa Dr. W.Slaaaaa!
Hawana tofauti naona!
 
Yeye anajinadi Kama Mwanaharakati wa haki za wanawake!
Lakini anashindwa kubalance na swala zima la utolewaji wa haki nyingine Kwa makundi mengine ya watu Kwenye jamii!
Maana Joyce yeye anawaunga mkono wale ambao pengine wanaminya haki nyingine Kama vile haki ya kutoa maoni /kukosoa (freedom of speech), haki ya mtuhumiwa kupewa dhamana, haki ya mtuhumiwa kufikisha mahakamani ndani ya saa 24, hayo Kwa Joyce siyo tatizo , Ila tatizo lake liko Kwa wanaume tu!
Ndipo nilipomuona Kumbe she is hopeless!
 
Imeandikwa "Mke asikose kumstahi Mume wake"
Mungu ndiye mfinyazi wa wanadamu kila agizo alotoa anamaana Yake nzuri tu Kama tukiwa watii wa Neno!
Sasa Joy ajipe mwenyewe ktk hili andiko !
Je ameweza kumstahi mumewe?
 
Alivyoanza vijembe tu ilikuwa wazi huko ndiko atakapohamia....

But bila kujali chama huyu mwanamke anahitaji msaada.

Ana KICHAA CHA NDOA grade ya kwanza...
 
Alivyoanza vijembe tu ilikuwa wazi huko ndiko atakapohamia....

But bila kujali chama huyu mwanamke anahitaji msaada.

Ana KICHAA CHA NDOA grade ya kwanza...
Alikua anaforce jamaa amjibu ili apate kiki ya kupiga pesa za CCM ila jamaa kamkazia kasababisha dada wa watu amegeuka kituko.
 
Wanawake wengine ni zaidi ya janga
 
Back
Top Bottom