Joyce Kiria Ageukia CCM

Joyce Kiria Ageukia CCM

..hata akihama hamna shida...Malaya wa kisiasa Hawa....yeye sawa na wema tu...wako kimaslahi zaidi....huyu Joyce hata akihama ameshatiwa vya kutosha na kilewo....wacha wakamle zaidi huko ccm...
 
Ndugu zangu kijani wanakutumia siku mbili tatu kazi ikiisha unapotezewa like hujawahi kuwepo.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Nyie mbona waliopigania Chama mnawatosa mnawapa mamluki na masalia ya CCM? Kama mnalalamika kuwa CCM ni wabovu kwa nini mnasubirishiaga chaguzi zenu mpaka Mgambo (i.e. CCM) waruke na kukanyagana kwenye chaguzi zao na nyie ndio mnapata mabaki.
Mbona vita maalumu viongozi wenu walikuwa wakiwagawia nafasi vitoweo vyao na siyo nyie ma-kajampa nani kama wenzetu?
 
Bashite bwana,sasa drama zote zile za kuwadhalilisha watu kumbe ilikuwa huyu poyoyo kumuasimileti?
 
Hapa Mbowe anazungumzia chohote kuhusu huyu mwanamke najiuliza mtu aliyezungumzia kuhusu huyu mwanamke ndiyo anajua cheo chake
Mbona unamwogopa Mbowe. Nenda tu kamuulize; si ndio mwenyekiti cha chadema, au?
 
Huyu ndo anaendesha kipindi cha ku-empower wanawake. Ndo maana hamuendelei
 
That’s true, kileo aliona mwenzie kafatwa na matarumbeta kulazimishwa atoe talaka, akaingia kichwa kichwa. Ila bora kaachana na huu mkosi japo kwa kudhalilishwa Nchi nzima
Mwanaume kosea vyote sio kuoa,ndio mana zamani wazazi walikua wanataka mtoto wao aoe karibu ili kujua vizuri familia ya upande wa pili.
Huyu ni kichaa kabisa stress zanamkojolesha
 
Bibi amekua kichaa huyu
IMG-20180429-WA0024.jpg
 
Back
Top Bottom