Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwanamke hana akili kabisa,asitake kutafuta umaarufu usio kuwa na msingi;kama alikuwa hapati tendo la ndoa kwa nn haku report for the time being?Aisee,
![]()
Si aende kwa Bashite wakalambane na kupigana tu vidole arudi kwake?Aisee,
![]()
Tunatakiwa tujisahihishe kama nchi maana watoto wetu wanajengwa kwamba "ukiwa CCM wewe mambo yako super na ukiwa upinzani mambo yako yanaenda kombo hasa unapokuwa na shughuli zako".Huyu alikuwa mke au Hawala?........Polepole kuwa makini kupokea makapi yanayofuata fursa CCM!
Hiyo ndo IQ ya super womanIfike mahali hivi vyama viwakatae watu wenye IQ ndogo kama hizi. Ukiwa na wanachama wa aina hii nadhani chama chako kitakua kime plan ku-fail.
Ilikuwa ya kimila mwanzoni kutokana na mwanamke kuwa na ndoa ya kwanza ilikuwa ya kanisani mume wake wa kwanza alafu baadae ikarasimishwa rasmi kwa kupata baraka za kanisaKatika watu waliokosea mwanamke wa kuoa ni huyu jamaa sijui ilikuwa ndoa ya kansani ile
Sababu ya ile ya Kwanza kuvunjika ilikuwa ni nini, hizi ndoa za kikristo zina sheria kali SanaIlikuwa ya kimila mwanzoni kutokana na mwanamke kuwa na ndoa ya kwanza ilikuwa ya kanisani mume wake wa kwanza alafu baadae ikarasimishwa rasmi kwa kupata baraka za kanisa
Yani we ccm unafurahia huu uchafu! Kuna tofauti gani na video ya akina Nandy?Hahaha hao ndo chadema bhana ndo maana wameshikwa akili na Mange Kimambi kuanzia top Boss chadema mpaka wabebe mikoba!
"fly to KIA" we kweli mtundu,haka kausemi niliwahi kukasikia wakati flani hivi..Joyce Kiria haitajiki ndani ya CCM.
Akomae huko huko kwa mzee wa "fly to KIA"
Walishandana na mume wake wa kwanza (somebody DJ Nelly) na aliomba talaka na kimsingi alipambana mpaka talaka ikatoka kama unavosema sheria ni kali sanaSababu ya ile ya Kwanza kuvunjika ilikuwa ni nini, hizi ndoa za kikristo zina sheria kali Sana
Sasa mwanamke mwenye akili atazungumza hayo mambo ya kutombwa hadharani?!
Mange kawajambisha na kuwarukisha kichura maboss wako ati? Wewe ulishawahi kusimamisha tz hata kwa lisaa? Mange mwezi mzima watu hawalali wanawaza kuongeza magari ya washawasha, wacha hizo mmenyooka buanaaaaaHahaha hao ndo chadema bhana ndo maana wameshikwa akili na Mange Kimambi kuanzia top Boss chadema mpaka wabebe mikoba!
Wanawake wengine ni mkosiSasa mwanamke mwenye akili atazungumza hayo mambo ya kutombwa hadharani?!