Kileo hapa ulichemka, huyu mwanamke hafai kabisa,
Mara paap, unamsikia mkeo mkeo Anadai huyu Ndio role model wake[emoji274]Joyce Kiria aibuka tena na issue ya mumewe lakini awamu hii amewachana wanaombeza.
Instagram:
joycekiriasuperwoman: Watu wangu Nifunzeni jinsi ya kusonya na kunyali nyumbu wote waliotoka povuuuu na wanaoendelea maana wanawashwaaaaaa Wajinga wengi mnooooo
Jana kwenye taarifa ya habari nimemuangalia kilewo kidole cha pete imebaki alama tu sijui kasha iuza kwa sonara kanywea bia [emoji23][emoji23] mdomo ulimponza kichwa atulie atapata kibenten chakuki lea.Kilewo yupi tena kelele zote za Joyce Kiria ni baada ya kujua Kileo sio wake tena ameshamove one siku nyingi nadhani amesema mwaka mpya na mambo mapya. pole Joyce
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Kweli kabisa bora faiza mke wa Sugu ana akili.Kileo hapa ulichemka, huyu mwanamke hafai kabisa,
[emoji106]Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora huyu aisee yule wa sugu majanga zaidiKweli kabisa bora faiza mke wa Sugu ana akili.
Last weekend nilikua na Kilewo pale Desert Hotel, Area D - Dodoma.... Jamaa amebamba mtoto mkareeeee zaidi ya Beki tatu muuza sura....Duh yaani jinsi Kilewo alvyokuwa decent ndio kaangukia kwa mwanamkewa namna hii?? Laiti ingekua siwafahamu....
Ni cha watoto mkuu...Jamaa aliingia choo cha kike
Mpe pole tu maana alijiona mjanja kumpokonya mwenzie mke hakujua kwamba anamtua zigoDuh yaani jinsi Kilewo alvyokuwa decent ndio kaangukia kwa mwanamkewa namna hii?? Laiti ingekua siwafahamu....
Kwel wew mhengaSisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.
MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenye jipu takoni hawahi siti