Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Huyu yupo kwenye msongo wa mawazo wa level za juu sana. Anashangaa Mumewe hajibu kitu kwa media na hii inazidi kumfrustrate. Poor her. Aanze kutumia sasa zile ngojera alizokuwa anatumia kuwajaza wafuasi wake.
 
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Theluthi moja tu ya Wanawake wangekuwa wanalitambua hili kama wewe basi ndoa nyingi sana zingebakia salama. Wewe una akili sana.

 
Mgosi sioni sababu ya kunitusi, huenda nikawa na umri Kama Mzazi wako, hukutumia busara. Namjua kwakua ni kiongozi wangu wa Chadema lakini pia nimefanya nae biashara. Nisingependa nikutukane ila nakustahi.
Kwani Joyce ni MGOSI?
 
Siku zote jibu la mjinga ni kukaa kimya tu
 


Yaani ndo haka kale kachangu kasichojitambua? Basi ilikuwa ni vema akpigwe tu, mbona hajavunjika hata mkono, mtu kama huyu yabidi kumpiga kama unapiga mwizi ili avunjike vunjike tu mwilini ashike adabu. Ana bahati sana, jamaa alimpiga kimapenzi si kwa kumkomoa.
 
Huruma jamani, kuweni na huruma, hamuoni kuwa mwenzenu anahitaji kusaidiwa ata kwa ushauri?
 
Hiyo mikunjo husoni ni dalili nzuri kabisa kuwa anastress na asipowahiwa atadata. Wosia kwa vijana ambao hawajaoa, wajifunze kupitia hapa, muombe Mungu akujalie mke mwema, ukikutana na kirambasi kama hichi unaharibu kabisa maisha yako.
 
Huyu kapata anaemkazia fresh ndio sababu ya yote haya ktk familia.
 


Pole km Kileo ni shemejio............... hapo nitolee harudi ng'o bora huyo Joyce angekaa kimya angemfikiria lakini sasa hivi Kileo karudi bachela squared hawezi kukaa na mwanamke stressfull kama Joyce aisee. Unaona kila leo kwenye media but Kileo busy na life yake na kutafuta maisha ukikutana nae atakuambia jinsi hata haoni shida saaana kamwambia kama anaona hawezi kukaa na hao watoto ampe yeye atalea mwenyewe. Kiruuu dada wa dyudyu yamemkuta lazima apagawe
 
Wajameni, mkishajiona mmezeeka hivi, kaeni mbali na social media, maana mnajitia aibu. Sasa hiki nini hiki?
 
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Huyu bidada kaamua kuvaa BIKINI tu safari hii.
 
amejichokea huyu mwanamke ile mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…