Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Mi nashangaa anavyoleta huku kwenye social media sasa toka.aanze kuandika sisi tumemsaidia nini zaidi ya kumshangaa

yaani ndugu, hata mimi najiuliza weee, maana hata anakokaa hatukujui, yeye ndie anatuambia!! afadhali hata tungekuwa naye mtaa mmoja!
 
Mara paap, unamsikia mkeo mkeo Anadai huyu Ndio role model wake[emoji274]

Hivi waajiri wake wanaruhusu mfanyakazi wao tena muelimisha jamii atukane Hivi halafu bado Anaendelea na kipindi cha harakati?
Hahahaaaaa.... Paaap misonyo chumbani
 
Mwanamke ni mwanamke tu,hata wewe uliye na pesa na upo kwenye ndoa ishiwa uone moto unavyowaka
Ukiishiwa tu sikuizi hata kama una demu anakupenda. Akijua tu huna, ghafla amenuna, hana furaha yaaan anakuwa na majib majib tu yasiyo mazuri.
 
KOSEAA VYOTE KWENYE MAISHA YAKOO... Usikosee Kuoaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…