Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Hawa wachaga waliojaa mjini wameshindwa kumshauri mwenzao afiche kidogo ujinga wake anawaaibisha aseee kuna muda dish linacheza kidogo ila hili limetikisika kabisa hana tofauti kidogo na yule faiza pipa na mfuniko kabisaaaa
 
Joyce hujamsahau tu kilewo jamani hebu jikaze basi sio kwa ubaya lakini
 
Correction: Joyce si mchaga ni mpare.
Acha zako, hatuna wapare wapuuzi mkuu! Kilewo ni mchaga

Wapare popular ni hawa: Vanessa Mdee, Joh Makini, Nikki wa Pilli, MIMI Mars, Jeff wa Speshoz, Ngozi TZ, Mr, Beneficial, Mmiliki Ki2ko clothing line, Halima Mdee and the list goes on,
 
Kwa hii mineno kamanda tena naona kawa mgambo,yaani kamanda ni Marioo .Alafu hii style ya kuleta mambo ya familia kwenye mitandao ya jamii, nyie wanawake kawafundisha nani?,ila naona bado kuna umuhimu wa unyago japokuwa baadhi ya watu wanaona kama upuuzi,lkn baadhi ya wanawake hawajielewi.
ukikutana na jini mtu kama hili la Mr. Kisasa ni hatari kwa afya ya roho
 
Hili ndio tatizo la kuoa wanawake wenye itikadi za kiuwana harakati. Harakati anazianzishia humo humo ndani ya ndoa. Anataka kukufanya mwanaume uwe mfano wa harakati zake.
Umenifurahisha mno mkuu...all in all, bado inabaki ni mapungufu ya mhusika tu. Kwa sababu kuna wanawake wengi ni wanaharakati lakini wanajua harakati zianzie na kuishia wapi...!
Ndoa ni zaidi ya hayo anayoyawaza kwenye majukwaa. Kila mtu lazima AJISHUSHE, ndo ustawi sahihi wa ndoa utapatikana...!
 
Nilikuwa na mwanamke wa aina hii. Yaani anataka attention kila wakati. Hajui kama upo busy anataka umuwaze yeye tu. Halafu wapo vizuri kwenye speculations. Ukiwa busy atasema kuna mwanamke mwingine ndio upo busy nae. Yaani ni kichomi haswa
Duuh, ni shida mno...!
 
Acha zako, hatuna wapare wapuuzi mkuu! Kilewo ni mchaga

Wapare popular ni hawa: Vanessa Mdee, Joh Makini, Nikki wa Pilli, MIMI Mars, Jeff wa Speshoz, Ngozi TZ, Mr, Beneficial, Mmiliki Ki2ko clothing line, Halima Mdee and the list goes on,
Mange Kimambi umemsahau teh au yeye sio popular
 
Wanawake wengine ukitaka akuheshimu basi wee ni Ambaruti kila siku, hapo heshima kama demu wa kule shamba
 
"Its hard to see the person you love happy with someone else" ukiielewa hii ndo utajua uchungu anaupitia huyo kilaza ha ha ha ha hivi ni nini kinawafanyaga watu kuona mtu hawezi kupendwa tena kwa sababu we unamchukia? Unamfanyia mtu unaempenda vimbwanga akipata mtu wa kum comfort huko nje unarudi mbio mbio na kujiliza liza mrudiane!
Kweli ni ngumu lakini angekaa kimya. Kwani wanaume wameisha jamani? Si amesema Kileo ni mariooo hatunzi familia sasa anamtaka wa nini? Anadhani atabadilika?
Yaani mie ningepiga kimya nikauguza maumivu yangu ndani kwa ndani nikijua ipo siku nitakuwa sawa na nitaendelea bila huyo mwanaume.
 
Unamdhalilisha mtu unayempenda mtandaoni unadhani atarudi hata kama ana hiyo nia? Acha Kileo amkomeshe huyu dada
Bado anampenda mumewe,na amekosa kampani yake ndio maana anatoa maneno ya kuchanganyikiwa;ni kawaida kwa mtu yeyote kuwa hivi kwa mtu anayempenda.
 
Kweli ni ngumu lakini angekaa kimya. Kwani wanaume wameisha jamani? Si amesema Kileo ni mariooo hatunzi familia sasa anamtaka wa nini? Anadhani atabadilika?
Yaani mie ningepiga kimya nikauguza maumivu yangu ndani kwa ndani nikijua ipo siku nitakuwa sawa na nitaendelea bila huyo mwanaume.
Harafu usikute kosa lilikuwa lake huyo mwanamke
 
Kama ni kweli, Joyce kwa mara ya kwanza namuonea huruma. Tunaweza kumponda kwa tabia zake za kuandika upupu ila inaumiza mno kufanyiwa vitendo hivyo, wenye ndoa mnanielewa.

Joyce ashauriwe vyema, kama ndoa imeshindikana, basi apewe taraka yake aishi kwa amani. Kuumia ukiwa ndanj ni tofauti na kuumia ukiwa nje!. Pole sana dada!! Wanaume sijui tuna shida gani?

Better u tell yo colors, ka unapenda wake wengi ijulikane, sio unaapa utakuwa na mmoja halafu unaoa mwngne. Kuchepuka kupo, ila sio mpaka umuoneshee madharau wife live!
 
Kweli ni ngumu lakini angekaa kimya. Kwani wanaume wameisha jamani? Si amesema Kileo ni mariooo hatunzi familia sasa anamtaka wa nini? Anadhani atabadilika?
Yaani mie ningepiga kimya nikauguza maumivu yangu ndani kwa ndani nikijua ipo siku nitakuwa sawa na nitaendelea bila huyo mwanaume.
Hahaha ndipo tunapotofautiana binaadamu hapo!
 
Tangu lini beki 3 akaolewa , wanaume jifunzeni sio kila mwanamke ni wa kuoa au kuzaa nae.


Huyu Joyce kiria ni sampuli ya wanawake wasiokuwa na sifa stahiki za kuolewa.
 
Back
Top Bottom