FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
"It's too late to apologize".... Justin Timberlake pia....hahaaa nimefurahi sana aisee ..
what goes around comes back around
via
Justin Timberlake
Basi unajiona mjanja mwenyewendio dawa yao hawa mbavu zetu "... nakumbuka niliwahi beba chupi ya demu mmoja hivi nikaiweka mfukoni " demu wangu permanent wa wakati huo " akaja kuchukua nguo na kwenda kuzifua akakutana nayo ... pakachimbika bila jembe
ewaaa " bonge moja ya nyimbo " asante mkuu"It's too late to apologize".... Justin Timberlake pia....
Ninachojifunza demi maisha ni fumbo sana. Kwan Kila mtu ana mtihan wake ambao atatahiniwa yy peke yake. Na mtihan wako sio wangu. Ingawa tunajifunza zaidi kutoka kwenye mitihan ya wenzetu. So Joyce kawa unao wa kufundisha mwali vigori wa Zama hizi.Haya mkuu. Nitafurahi siku nikiona ameshaurika na kuadmit kosa.
kwante tuko hapa ku-social ..please don't take serious kwakila unachokiona kisoma humu " wewe sio mgeni wa Jf na hizi platformBasi unajiona mjanja mwenyewe
ewaaa " bonge moja ya nyimbo " asante mkuu
Haha akili yako kweli inakutosha mwenyewe. Ukamaliza vipi sasaenzi za ujana hizo mkuu " nilikuwa mwehu sana " nakumbuka nilikuwaga na demu ni cheche ile mbaya na mimi moto unawaka " so ilikuwa Kama twakomoana hivi kwa sababu sote tulielewana na hakuna aliyekuwa anataka kumuacha mwenzie "... basi bwana kuna siku alinivuruga nikaona sio kesi " ... tulipokuja kukutana kwa bed ili tufanye matusi kati kati ya mchezo sinika jifanya nimenogewa ... hahaaa " nikaanza kulitaja jina la rafiki yake "... daaah ili kuwa balaa
ni wanawake wachache sana ambao wana tambua misingi ya hiki ulicho kiongea ".. haswaa wanapokuwa katika uchumi mzuri halafu wanaume zao wakiwa wame yumba kimaisha ... hapo ndio huwaga ndio mwanzo wakuitambua rangi halisi ya mkeo uliyenaye kwenye ndoa yakoJoyce ni zero brain.
Mahusiano hayafungamani na upande wowote, mf. cheo au hali ya mtu aliyonayo.
Ndiyo maana hata uwe na cheo/kazi kubwa namna gani. Linapokuja swala la mahusiano ndani ya nyumba (Me/Ke) hakuna cha kazi wala cheo ulichonacho. Kama ni Mme timiza majukumu yote ya ndani ya nyumba kama Mme (kazi/cheo kiache hukohuko). Kadhalika na Mke nae atimize majukumu yake kama Mke na wala siyo kutumia hali/cheo/kazi uliyonayo kumwendesha Mme wako.
alikuwaga ni mtata huyo alinisukuma nikaangukia kando halafu kesho yake akaenda kulianzisha kwa yule shosti yake ... yeye mwenyewe alikuwaga ni mapepe so nadhani alijitathmini nakuona kuwa nivitu ambavyo hata yeye huwa anavifanya .. so akaamua tuendelee tu na mahusiano yetu .. but urafiki na shost yake ukafa rasmiHaha akili yako kweli inakutosha mwenyewe. Ukamaliza vipi sasa
kaswali kangu ni haka tu, umeolewa??Yaan bestie kuna mambo ukiyaona unajiuliza hivi imagharimu nini kujifanya mjinga?
Wanawake huwa tunakosea tena sana tuu. Lkn ukijishusha na kuamua kweli kubadilika ndoa yako haita vunjika miaka mia 8.
Hata kama.mume ni abusive kama.polisi wa staki Shari lkn ukiwa submissive from your inner heart lazima huyo mume atulie na abadilike taratibu taratibu. Ubabe ndio za kiume Sasa unapokutana na feminist ambao eameuvaa uanamme wa majukwaani af uwe ni from chagga lazima utaisoma namba ya kegete.
Bottom line Joyce anaipenda ndoa yake na hata kilewo kaka yangu ni hivyo hivyo. Na anachokifanya kilewo ni kudraw attention ya kiria Sasa kiria anatakiwa awe kama taa ukibonyezwa tu switch ww umeshawaka mita kadhaa mbele. Unawaangazia nuru kuondoa Giza ndani.
Siku zote Giza huondolewa kwa nuru na sio kiza kingine
Ninachojifunza demi maisha ni fumbo sana. Kwan Kila mtu ana mtihan wake ambao atatahiniwa yy peke yake. Na mtihan wako sio wangu. Ingawa tunajifunza zaidi kutoka kwenye mitihan ya wenzetu. So Joyce kawa unao wa kufundisha mwali vigori wa Zama hizi.
haswaa " mfano mdogo leo hii bado tuna burudika na nyimbo za kina kenny rogers .2pac etc na nafsi zina farijikaPamoja Mkuu. Jumbe za nyimbo zinaishi Mkuu.
kwante tuko hapa ku-social ..please don't take serious kwakila unachokiona kisoma humu " wewe sio mgeni wa Jf na hizi platform
hehee nimekupenda bure ... are you married !!?Ooh sawa boss
SomaMwanaume akikuchoka yaani hata ulie kilio cha namna gani ni kazi bure. Kinachonishangaza sio malalamiko yake lkn why kuanika kila kitu mtandaoni? Juzi Kileo kanunulia watoto viatu eti anatoa asante mtandaoni. Huyu dada hana akili..mara mia Giggy Money
Inaonekana huyu Dada anapitia kipindi kigumu sana.Huyu dada sijawahi kumuelewa
Inaonekana huyu Dada anapitia kipindi kigumu sana.
Huyu dada acheni alalamike aisee tatizo kamanda alikuwa hajamaliza ujana sasa hivi ndo amejua ladha ya nyapu ndo maana karukwa na akiliBinadamu ndivyo walivyo hatutaacha kuongea. Lakini tambua kuwa kuna baadhi ya mambo ukiyaexpose mtandaoni kuna madhara makubwa. Tutumie mitandao kwa kiasi
Kama ulikuwepo Mkuu!haswaa " mfano mdogo leo hii bado tuna burudika na nyimbo za kina kenny rogers .2pac etc na nafsi zina farijika