Ha haaaWatake radhi jirani zangu
Atajiita khonki khonki khonki womennimefurahi kwa sababu super woman kapatikana ... sasa kama yeye anajiita super woman " aliye mpora mume sijui atamuitaje
Daa waislam tuhakikishieni hiliWe unazungumzia 10, mtume MUhammad SAW alikuwa na wake 700 katika kipindi chake na hapo still kulikuwa na michepuko 300!
Huku meno thelathini na nje yote mbili hahaha mkuuKama namuona Kilewo anavyopitia comments huku meno thelathini na nje yote mbili
Alikosa sana kuskiliza ushauri. Ujue ambition yake alitaka amfikie oprah Winfrey, asijue kufika pale kuna hitaj nidhamu sanaSasa huko kulalamika kumemsaidia nini zaidi ya watu kumuona hana akili, kaharibu had kipindi chake kimekosa mvuto kwa jamii. Ujue kila mtu Ana matatizo yake Ila Wana solve kimya kimya tu.
Kilewo ni wachaga tena wa sana juu sio mpareHivi kwa nn Wapare hawana uthubutu wa kujitambulisha kwa kabila Lao? Kunani name kabila Lao?
Kilewo ni wachaga wa machame sana juu kibong'otoMpare bana nadhani wa Mwanga
Kumbe moza ally mushi kweli wajenge famila huyo naye aendelee kuvunja ndoa za watanzania na wanawake live kwenye tv
Oprah kwa exposure ipi? Umri nao umesonga sanaAlikosa sana kuskiliza ushauri. Ujue ambition yake alitaka amfikie oprah Winfrey, asijue kufika pale kuna hitaj nidhamu sana
Tofautisha Kileo na Kilewo.Kilewo ni wachaga tena wa sana juu sio mpare
HahahaMi ukiwa Ex wangu af kila siku naskia unasema sijui kukatika najua tu unamiss nilivokuwa nakuminya mbavu!
Duu mfalme Suleiman amekuwa Muhammad? Hii kaliDaa waislam tuhakikishieni hili
Mnaanza kwa kusema bure lakini watu wakifika huko mnaanza jamani mchango wa kumchangia mwalimu fedha ya nauli,mara kulipia sehemu ya ukumbi etc,Kama ni Bure kweli nyie mnafiadika na nini? au ni kazi ya kanisa mnalipwa na mungu?#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza
DARASA hilo litatolewa na walimu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. WOTE MNAKARIBISHA SANA.
- Ufugaji, kilimo na biashara.
- Utengenezaji wa sabuni ya mche.
- Utengenezaji wa sabuni ya maji ya kuogea, kufulia na chooni
- UTENGENEZAJI WA BATIKI
DARASA ilo litafanyika Dar-es-salaam Tegeta, Nyuki {ukitokea sehemu yoyote ya Dar-es-salaam panda magari yanayoenda Tegeta, Nyuki kisha shuka mwisho wa gari. Harafu utapiga simu 0783137777 ili upewe maelekezo ya kufika.
KWA MAWASILIANO PIGA 0783137777
mmmhhh!!!Dawa ya mwanamke mkorofi ni kumletea mwanamke mwenzake
aiseeeeeeHAHAHAHAHA mkuu umenichekesh sana, shida haiko kwa wachaga tu bali ni wanawake wenye kaliba ya ujuaji na ushamba toka kichwani af hawana lolote, yakiwashinda huwa wanabwata hovyo, huyo mavuzi alitegemea mda wote waliotengana KAMANDA alikuwa anapiga nyeto nini! Hapo ndio akili ya mwanamke inapodhihirisha ubovu wake, yani we tumetibuana kisha nikapata mtu mwengine wa kuniliwaza ukaamua kuomba msamaha tuyajenge,,tunarudiana halafu unaanza kunilaumu tena eti nimekusaliti ha ha ha ha huyu kiria ni faraaa!!!
Joyce na Faiza inabidi waingie kwenye TzWomen book of wonders, wana vituko endlessly!
mmmhhh!!Hao ndio mademu wa kuwa nao aisee, sio hawa kajamba nani mtu alikusaidia nauli ya kwenda interview ukapata kazi ndio inakuwa point ya kukusimangia hio, kila mkipishana kidogo eti kisa una kazi sahivi!!! Shenzee,
mmmhhh!!!Waendeleze kupasha kiporo sio mahusiano tena, kuishi na mwanamke mshenzi kama Kiria ni kujitaftia kufa before 50!