Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Lazima achanganyikiwe na yote kasababisha yeye mwenyewe. asingeanika mambo ya mumewe mtandaoni nakwambia jamaa angekuwa amesharudi kwa mkewe. Anatumia uharakati wake vibaya. Kileo harudi leo wala kesho labda Joyce aamue kubadilika, ana tabia mbaya
Kweli....hivi kwanini hana siri, kila kitu anaropoka?
 
Kweli. ...kule insta wanamchora mbayaa
 
Once a house girl, always a house girl
 
What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.

Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…