Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Lazima achanganyikiwe na yote kasababisha yeye mwenyewe. asingeanika mambo ya mumewe mtandaoni nakwambia jamaa angekuwa amesharudi kwa mkewe. Anatumia uharakati wake vibaya. Kileo harudi leo wala kesho labda Joyce aamue kubadilika, ana tabia mbaya
Kweli....hivi kwanini hana siri, kila kitu anaropoka?
 
Lakini kuna kipindi alimuanika sana huyo kaka mabaya yake mitandaoni,
Kama aliona anaweza ishi bila yeye atulie tu.
Lakin kama hawezi akubali kushuka na aache kututangazia ya nyumbani kwake !
Matatizo ya ndoa hayasolviwi mtandaoni na watu walikua wanamchora tu wanamkomesha kwa kiherehere chake
Kweli. ...kule insta wanamchora mbayaa
 
Mwanaume akikuchoka yaani hata ulie kilio cha namna gani ni kazi bure. Kinachonishangaza sio malalamiko yake lkn why kuanika kila kitu mtandaoni? Juzi Kileo kanunulia watoto viatu eti anatoa asante mtandaoni. Huyu dada hana akili..mara mia Giggy Money
Once a house girl, always a house girl
 
Chagga Woman
IMG_20181108_212504.jpg
 
What goes around comes around ,joyce hata nelly alipitia magumu yako kipindi unamcheat na kamanda.

Mwanamke wa shoka acha kulia lia mbona kwa nelly uliifata kwa nguvu talaka mahakamani. Na huyu usimcheleweshe bana
 
Back
Top Bottom