U super woman kwa ndoa utaula wa Chuwa hafu kumzalilisha mumewe watu walimshauri akagoma sasa acha a jifunze kulala na mtoAisee " alijifanya kuleta u-super woman mpaka ndani ya nyumba yake ... acha jeuri yake imtafune sasa
usiniambie !! Nelly aliwehuka !!?Eti Nelly akawa kichaa....huyu Joy huyu[emoji15]
Watoto watakua una jua kiria asingekuwa Ana mzalilisha mume angerudi sasa kujitangaza ndo kumemkimbiza ngoja na wanawake wajinga wamuige hyo tabia mwishowe waachike yeye na u super woman anajiliza dailyWatoto wao sasa wale bado wadogo..duuh
kama mimi ndiye ningekuwa kamanda ... baada ya kuuona huo waraka wake ... kesho ningekwenda car rental " ninge kodisha X6 ninge li change plate number kwa muda mfupi tu ". then ningekwenda nalo home kuwasalimia wananguU super woman kwa ndoa utaula wa Chuwa hafu kumzalilisha mumewe watu walimshauri akagoma sasa acha a jifunze kulala na mto
Moza ni mrembo na katulia lazima joy awehuke tu hamna namna. Hafu ukimya wa kileo una muumizaYes dear....halafu unaambiwa Moza ana heshima na adabu, mzuri, na ana hela!
Kweli mmemwamulia huyu asiyejua kupendwaU super woman kwa ndoa utaula wa Chuwa hafu kumzalilisha mumewe watu walimshauri akagoma sasa acha a jifunze kulala na mto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa umefurahi nini mkui?hahaaa nimefurahi sana aisee ..
what goes around comes back around
via
Justin Timberlake
Yeah...alimpenda Joy kupindukiausiniambie !! Nelly aliwehuka !!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]kama mimi ndiye ningekuwa kamanda ... baada ya kuuona huo waraka wake ... kesho ningekwenda car rental " ninge kodisha X6 ninge li change plate number kwa muda mfupi tu ". then ningekwenda nalo home kuwasalimia wanangu
Jamaa aliuchuna kimyaaa...demu likawa linavimba kichwa tu!Moza ni mrembo na katulia lazima joy awehuke tu hamna namna. Hafu ukimya wa kileo una muumiza
hahaa ndio hivyo mkuu mpaka azimie kwa pressure[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Aisee kamuharibia kaka wawatu maishaYeah...alimpenda Joy kupindukia
Ume nichekesha sanaYaani mumewe kuchepuka na mmoja tu analalamika dunia nzima kwa page ndefu ya lawama. Ingekuwa ni ile enzi ya mitume waliokuwa na wake zaidi ya 10 huyu angejiua. Wanawake wabinafsi sana. Unataka uwe peke yako kwani wewe ni mama yake mzazi.
Inaonesha kaumisi mshedede huyu, mbona analia lia?Kwako Kilewo wangu,
Kwanza kabisa nakushukuru sana kwa uwepo wako katika Maisha yangu, UPENDO wako wa awali ulinifanya nione hakuna kama wewe hapa duniani. Ulinipenda, ulinidekeza, ulinijali, ulilinda hisia zangu, uliniaminisha hutakuja kunisaliti, uliniaminisha wewe ni Mume bora na Baba bora na Kiongozi bora. Nikakupenda sana, nikajitoa sana, nikakuheshimu na kukupa Thamani yako yote.
.
Nakushukurua sana kwa Baraka ya Watoto wazuri Lincon & Linston. Kipindi cha Miaka miwili bila Amani kwenye Ndoa yetu hakika wamekuwa Faraja yangu Kubwa sana. Japo muda mwingi nakuwa nimezubaa kwa mawazo, Watoto hujua na kuniuliza "mama mbona unanuna?" Huyo ni Lincon! Basi natabasamu kuwaridhisha wanangu japo Moyo wangu una MAUMIVU makali sana ambayo baba yao kanijeruhi.
.
Mume wangu umeisambaratisha familia yetu bila huruma, umetuacha hapa kama wakiwa. Ujasiri wa kunipiga kote kibao ni huyo MBWA, unafanya biashara nyumbani huleti hata shilingi kwa ajili ya huyo shetani, Huo ndo Uongozi Kweli Mume wangu? huo ndo UKAMANDA Mume wangu?
.
Tulikukosea nini Mume wangu? Unajimilikisha gari ya hawara bila aibu unazurura nayo kila kona , unakuja nayo mpaka nyumbani, ulitaka nikuiteje kama siyo MARIOOO. ulitaka nikuite nani Mume wangu, kama unaweza kuhongwa gari na Kahaba bila aibu unakuja nayo mpaka Kwangu ulitaka nikuiteje ebu niambie??? Sikupata jina baya zaidi hakika ningekuita tuu kwa MAUMIVU uliyonipa..
.
Nashukuru sana umenifanya nijifunze kumpenda MUNGU zaidi kuliko binadamu. Binadam tunabadilika sana. Nilikwambia kwa machozi Mengi sana kwama UNAMPENDA MUOE unipe Talaka. Ukanikatalia hutoki nae japo Dunia inajua ni mchepuko wako. inaumaaaa.. Pata Picha ingekuwa ni Mimi nakuja Nyumbani na gari ya Mwanaume unaesikia natembea nae... Ungekuwa unajiskiaje Mume wangu.
Mume wangu wewe ni Kiongozi, Chagua mwanamke unaempenda umuoe utulie. Ni aibu kujiita KIONGOZI lakini huheshimu familia yako. UONGOZI ni DHAMANA kubwa, unatakiwa uongoze watu kwa mfano mzuri.mfano wa kwanza ni kwenye familia yako Siyo kwenye Taasis, ukatibu wa chama, udiwani, ubunge, Ni nyumbani kwako. Nasikitika Watu wengi wanaokuzunguka wengi hamthamini familia zenu kabisa.. INASIKITISHA!
Source : JKiria Page
TotalAisee kamuharibia kaka wawatu maisha
Mitume gani hao walikuwa na wake kumi?Yaani mumewe kuchepuka na mmoja tu analalamika dunia nzima kwa page ndefu ya lawama. Ingekuwa ni ile enzi ya mitume waliokuwa na wake zaidi ya 10 huyu angejiua. Wanawake wabinafsi sana. Unataka uwe peke yako kwani wewe ni mama yake mzazi.