Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Kumbe moza ally mushi kweli wajenge famila huyo naye aendelee kuvunja ndoa za watanzania na wanawake live kwenye tv
 
Tatizo nyumba moja CCM na CHADEMA,,,,,,,,,,,,, au Biashara na siasa
 
Hii ni dhahiri bado anampenda mumewe,lakini hajui njia sahihi ya kuwa nae tena.
Kuna kale kausemi "mwanamke mpumbavu,huharibu ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe..."
 
Exactly
 
That's maturity... Hongera kwa kuyaona haya yote.
 
Kazidi mno huyo Joyce Kuwa na kipato hakukufanyi uwe kidume Baba watoto ananunua chakula viatu na hela anakupa then waenda mtangaza mtandaoni ka si dharau za ajabu nini. Acha anyooshwe kaharibu family yake
Umeonaeeeee
 
Huyu mwanamke na yule wa Sugu akili zao ni copy za wanawake wa kichagga,alimwacha jamaa kwa matusi makubwa sana sasa hivi anajiliza kama mtoto mchanga
Halafu kwanini wanawake wa kichagga huwa wanazingua sana?
HAHAHAHAHA mkuu umenichekesh sana, shida haiko kwa wachaga tu bali ni wanawake wenye kaliba ya ujuaji na ushamba toka kichwani af hawana lolote, yakiwashinda huwa wanabwata hovyo, huyo mavuzi alitegemea mda wote waliotengana KAMANDA alikuwa anapiga nyeto nini! Hapo ndio akili ya mwanamke inapodhihirisha ubovu wake, yani we tumetibuana kisha nikapata mtu mwengine wa kuniliwaza ukaamua kuomba msamaha tuyajenge,,tunarudiana halafu unaanza kunilaumu tena eti nimekusaliti ha ha ha ha huyu kiria ni faraaa!!!

Joyce na Faiza inabidi waingie kwenye TzWomen book of wonders, wana vituko endlessly!
 
hahahah mwambieni mwenzenu aache utoto huyo,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…