Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Hahahahah...

*****...
ndio dawa yao hawa mbavu zetu "... nakumbuka niliwahi beba chupi ya demu mmoja hivi nikaiweka mfukoni " demu wangu permanent wa wakati huo " akaja kuchukua nguo na kwenda kuzifua akakutana nayo ... pakachimbika bila jembe
 
Hahahahah...

*****...
enzi za ujana hizo mkuu " nilikuwa mwehu sana " nakumbuka nilikuwaga na demu ni cheche ile mbaya na mimi moto unawaka " so ilikuwa Kama twakomoana hivi kwa sababu sote tulielewana na hakuna aliyekuwa anataka kumuacha mwenzie "... basi bwana kuna siku alinivuruga nikaona sio kesi " ... tulipokuja kukutana kwa bed ili tufanye matusi kati kati ya mchezo sinika jifanya nimenogewa ... hahaaa " nikaanza kulitaja jina la rafiki yake "... daaah ili kuwa balaa
 
Ebana huyu ndo anayempelekesha osigelo wetu? Ngoja nimzawadie na kamchepuko kangu ka hiari aendelee kuutatiza moyo wa mbwabwaji wa kike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu dada kwani yeye ndio mwanamke wa kwanza kusalitiwa hapa duniani mbona haishi kunung'unika.
 
Heheheheheheheeeheh aisee kamanda kileo hapa ulibugi pa kubwa sanaa sana sana aisee !!!!!

Daaah !!! Mwanamke ana domo kama mchiriku akikazwa fresh anasifia fresh tu akinyimwa p*mbu kelele hadi ulimwengu ujue kama mto alienyany'anywa pipi yake na kugalagala sakafuni .

Aisee kosea kujenga nyumba lakini usikosee kuoa huu msemo nimeuamini .

Ngoja tule ujana tutaoa uzeeni

Pole sana KILEO
 
Eeeeeh
Mpenzi wake mpya..

Kafanya Joyce akumbuke aliolewa.. huyo demu atakuwa kamzidi kwa mengi.. ingekuwa demu wa ovyo ovyo hana mbele wala nyuma isingemuuma hivi..

Anaisoma namba.. lazima analia tu.. eti kisa gari analoendesha baba watoto..

Huyo mwanamke anatamaa mbaya ya pesa [emoji16]
Alitaka jamaa asugue soli milele apige ngoko hadi vigimbi vipasuke
 
Nadhani anadanganywa na marafiki zake. Wakati ukuta. Iko siku atayajutia haya.
 
Joyce buana, pengine alifikiri kumuacha kilewo angeendelea kuwa peke yake mpaka lini? Kibiriti aanze kutikisa yeye mwenzie achukue hatua halafu aanze yeye kulia kulia?dawa ya mwanamke jeuri ni kumletea mwanamke mwenzie,ukisoma between the lines ni kwamba anataka mumewe arudi nyumbani waendelee kuijenga familia yao ila kosa alilofanya mwanzoni bado anaendelea nalo, mkakati wake huu wa kuweka kila kitu cha chumbani kwao wazi ndio umemfikisha hapa alipo, yet bado anaendelea nao.
 
Wivu wa nini hata kama angeongwa magari mia!!!

Kumuacha amuache yeye.. kumchafua mitandaoni amchafue yeye kujionyesha gangwe.. now ana mwanamke anampa raha anamuita mario aiseee nicheke tu..[emoji3]

Hata kama pesa anaitamani basi..
Ajue kunyamazia mengine shaaaaa
Kwa mara ya kwanza leo umepata like yangu
Kwa mara ya kwanza leo nnaona comment yako bila kibwagizo cha jiwe oyeeee!
 
Eh wanaume wana roho za pekee, anaweza ibuka raia kutoka misugusugu akatangaza nia kabisa na mkala pilau upya! I must be damned!!!
So you are not a man...

And you are a woman either... Kasuku
 
Back
Top Bottom