Yupoje? AJe Kyerwa HukuNa wasiwasi snaa na carol ndosi...hahahha.
Huwa nakutana nae viwanja simwelew kabisa.
Haa!!!Yani ni aibu tupu Sasa kulana denda hadharani ni ujinga jamani, kwanza kibongo bongo ni uhuni tu, aachie mengine wazungu hafu eti mwanaharakati huku naye anatafta kiki ka za kina diamond huyu atapotea mazima, angekuwaga na shule kidogo Joyce kiria angekuwa mbali sana tofauti na alipo the more ana grow ndio anazidi kuwa mjinga aisee. Nawahurumia watoto angempa baba yao tu
Kuloweka Ni Lazima Iwapo UnashibaUpweke sio mzuri
Sasa wewe na akili zako unashikiwa akili na darasa la saba B?Mwongo huyu...miaka ishirin ya nyoko, sijui uingereza!
Huyu si alikuwa anatwambia tuache waume zetu ni miyeyusho[emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]
HaaSasa wewe na akili zako unashikiwa akili na darasa la saba B?
Kama atabwagana na jamaa, waTanzania watakuwa wamejifunza kitu kwamba yeye ndiyo mwenye tatizo ingawa ni public figure.Haya makiki ya mapenzi yatamfanya aonekane malaya tu anayeharibu jamii, acheck wasanii waliozea kiki za kimapenzi sikuhizi watu wamewapuuza, ndoa ya tatu hii ina maana wanaume wote walikuwa wabaya na yeye malaika, Joyce a ahitaji mwanaume timamu wa kumu guide aache ujinga, she is old enough to act childish, sema umaarufu na kuweza kulipa bills Kuna mfanya ajione mkubwa
Huyu mkibosho ni kilaza hata huyo kaka sijui ni WA uru kishimundu huko na mambo yaoMpumbavu huyo mchaga mwenzenu[emoji28] yani anawaibisha kweri kweri
[emoji23][emoji23][emoji23]Usingle maza mchezo bwana wewe....wanaruka tuu lakini ukweli ni kwamba wanahitaji mwanaume ndani ya nyumba
Anawaponza wenziwe Joyce umaarufu umemzidi akili huyo Sasa huyu mwanaume wa tatu ina maana wote ni wabaya kwake aisee, hafu kasema huyu bwana eti alimtoa bikra na yeye ame divorce mkewe so wanalea it seems Hawa hawakuwa waaminifu kwa ndoaHuyu dada ni zero brain kabisa! Halafu kutwa nzima kushawishi wanawake wenzake wavunje ndoa zao! Mara ohhh kua single ni raha kweli! Hii inaonyesha kabisa hata kipindi akiwa na Nelly na Kiliwo,bado alikua anatoka na huyu jamaa yake! Wanawake lakini,Mungu anawaona
Aache umalaya kila siku kuolewa, kilewo amnyang'anye hao watotoHaa!!!
Ametusua Anaolewa Sasa Hivi
Yupo humu JF kumbeKubwa Zaidi Nimeona Joyce Kiria Ame Log in Anafuatilia Thread Hii
Safi Sana Sana x 100
Mbona wacheka tena wife to be....mie nikajua wee nae utakuwa kwenye usingle maza huku unaenjoy life maana mambo ya kutumwa ukapeleke ndoo ya maji ya kuoga hutaki🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]