Joyce Kiria kupata Ndoa ya 3? Amtambulisha mpenzi wake

Haa!!!
Ametusua Anaolewa Sasa Hivi
 
Kubwa Zaidi Nimeona Joyce Kiria Ame Log in Anafuatilia Thread Hii
Safi Sana Sana x 100
 
Kama atabwagana na jamaa, waTanzania watakuwa wamejifunza kitu kwamba yeye ndiyo mwenye tatizo ingawa ni public figure.
Lakini kwa ninavyoona huyu Dada hajajitambua licha ya umri. Makosa mengi fanya kwenye twenties, ukifika thirties kunakuwa hakuna jipya zaidi ya kutumia hekima.
 
Anawaponza wenziwe Joyce umaarufu umemzidi akili huyo Sasa huyu mwanaume wa tatu ina maana wote ni wabaya kwake aisee, hafu kasema huyu bwana eti alimtoa bikra na yeye ame divorce mkewe so wanalea it seems Hawa hawakuwa waaminifu kwa ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…