cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Na ndio anafuga Sasa hiviNani abebe huyo kilaza joyce,labda afuge marioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio anafuga Sasa hiviNani abebe huyo kilaza joyce,labda afuge marioo
bwabwa ehhMimi Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]
Simpendi huyu mwanamke anaharibu sanaakili z wle wnwke wanaoshikiwa akili zaoHuyu sindio aliekua anawahamasisha wakezetu waachike ili waenjoy life ya usingo maza...[emoji53][emoji44]
Alafu sindio huyu aliyekua anawasisitiza wake zetu waachike, then sijui nawao tutarudiana after 20 good years...[emoji848][emoji849]
Yaani mzigo mzito tunapewa wenzetu wapo jela timu imezidiwa khalafu kuna majitu linapigwa kadi nyekundu kijinga tu kisha linakwenda timu pinzaniGo straight mkuu,,, unawachukulia mchele mchele...
Watu sampuli hio wengi ni mabwabwa... Wanaume tunaongezewa sana mizigo siku hizi,,Dada mchunge mmeo.
Feminist huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu sindio aliekua anawahamasisha wakezetu waachike ili waenjoy life ya usingo maza...[emoji53][emoji44]
Alafu sindio huyu aliyekua anawasisitiza wake zetu waachike, then sijui nawao tutarudiana after 20 good years...[emoji848][emoji849]
Feminists wote wana matatizo ya kisaikolojiaukiangalia kwa jicho la ndani sana wale wanaojifanya mafeminist sana huwa wanashida sehemu either awe mwanamke au mwanamke
Kwahiyo kiria anajikuta dada wa taifa kila boyfriend wake ni shemeji wa watanzania wote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye picha huyo Joyce kiria ndio yupi? yupo upande wa kushoto au kulia ?[emoji205]
🤣Haki ya nan wabongo nimewavulia kofia🤣Wewe utajisikiaje kuwa na mwanaume wa hivyo?
Kama siyo takataka unataka uiteje hiyo? Dalili zote za kubanduliwa anazo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Haki ya nan wabongo nimewavulia kofia[emoji1787]
Refer Flaviani MatataFeminists wote wana matatizo ya kisaikolojia
Na wengi wamenagukia humo kutokana na kufeli kimahusiano
Wengine wako kiupigaji zaidi hasa hawa wenye ma NGO ili wapate donation kutoka majuu
Mwanaume akitoboa sikio akavaa ushubwada kisha nywele akapaka U juma lokole huwa namchukulia tofauti [emoji2955]
WAPENZI WA JINSIA MOJA HAWAMtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu. Ebu tuelewane hapa. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
Huyo mkaka ni mchaga wa marangu ukoo wao ni kyara. Amekulia ilala mchikichini ktk kanisa la kilokole,baba yake alikuwa mchungaji wa hilo kanisa sasa ni marehem.Huyu mkibosho ni kilaza hata huyo kaka sijui ni WA uru kishimundu huko na mambo yao