T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Aisee lengo huwa ni nini?Mwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee lengo huwa ni nini?Mwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.
Mwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwenye makalio makubwa ni giLEsi ndiye aliyeanzisha uzi, baada ya ID kuunganishwa ikaonekana mwenye makalio makubwa ni bujibuji.
😅🤣😂Kuna mtu mwaka 2014 alianzishaga thread, kisha akajiomba contact, akajipa, akashukuru sana, kisha mods wakaunganisha ID ikawa aibu!
Hiyo ndogo sasa! kuna njemba mwaka huo huo hapa JF alianzishaga uzi kuwa ana makalio makubwa yanayochezacheza, anayabana na taiti mbili lakini bado yanacheza. Mods wakaunganisha ID ikaonekana ni mwanaume maarufu sana hapa JF! aisee tulicheka sana.
Haya njoo umuone bulaza wako amepata nafasi ya kumuhoji mke wake na kuomba picha 😂😂😂😂yule dada mpambanaji alimaarufu Joyce kiria ambaye kwasasa ameolewa na kupata mtoto wa kiume. Anatarajiwa kurudi na ujio tofauti kabisa kwenye luninga moja wapo za bongo ukiachilia mbali vipindi vyake vinavyoruka kwenye DSTV, *nilibahatika kulonga na mwanadada huyo alipokuja hapa Arusha kumtembelea na kumpa hongera kamanda Lema mbunge wetu wa A- town, alikuwa ameongoza na mume wake, tulikutana maeneo ya magereza walipokuwa wameenda kumtembelea Godbless lema huku wakiwa wameambana na mke wa mbunge wetu yaani Neema lema,
Tulitaka kujua ujio wake utakuwaje: na mnukuu, NIimejipanga kurudi kimapinduzi zaidi ilikumkomboa mwanamke katika mfumo dume, pili natarajia kujatofauti kabisa, naombeni muniunge mkono maana bila nyie sitoweza kufika ninapotaka kufika na kuwafikisha wanawake wenzangu.
Tukamuomba angalau picha za ujio wake mpya, akatutumia naweka moja kwanza.View attachment 41068
😹😹😹 au sio?pata picha zaidi akiwa na wadau wake wa kipindi.View attachment 41076
😂😂😂 hatareee sanaView attachment 41077yupo na Rashidi ,Matumla pamoja na mtangazaji wa NIVANA wa EATV
😂😂😂View attachment 41078*hii nimeipenda sana
🤣🤣🤣 Dah, wewe muungwana una pirika km pimbiView attachment 41079*kumbe unafanya mazoezi eeh.
😂😂😂 Alijua kuwapiga kanzuKibacha namkubali sana huyo dada kwnye DSTv ana vpindi gani kwani? Share with us. Vp Bongo Movie nayenyewe vp?
Hivi ni kweli alikuwa nakugharamikia kila kitu kamanda ?
Jamaa kumbe alikuja kumsifia mke wake huku ,ID imemwumbua aisee ,sasa njoo na ID nyingine umponde