Joyce Kiria kurudi kwa kishindo na Wanawake live ii


Mkuu naomba nitag [emoji81][emoji81][emoji81]
Leo nataka kupata old skul za jf
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huo uzi wa makalio naukumbuka sema sikujua yaliyoendea

[emoji81][emoji81][emoji81] Aiseee!! Hebu samaraizi hiko kisa kidogo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huo uzi wa makalio naukumbuka sema sikujua yaliyoendea

[emoji81][emoji81][emoji81] Aiseee!! Hebu samaraizi hiko kisa kidogo
 
Ya bujibuji ni afadhali hata kuanzia mwanzo humu ni kama comedian ,ila kilewo mtu na heshima zake kama kiongozi anakuja kujisifia humu na kutaka watu waige mfano

[emoji23][emoji23][emoji23] Kukosa kupita bila kupingwa, angekuwa mbunge wetu huyu anatuwakilisha mjengoni.!!
Na drama zake km hizi angefit sana
 
Mleta mada ndio mume / sijui alikuwa kwa hyo ulikuwa unajipa promo au sielewi elewi

Ndio mumewe da Joy ila alikuwa na parody naona akajimix kwenye kuverify [emoji81][emoji81][emoji81]
 
Hivi si alipigwa kibuti na Da Joyce wowowo?
 
Hahahahaaaaaaaaahaaaaaa
 
Yaan alikuwa anampigia mkewe promo..Kuna kipindi alikamatwa Joy alipambana sana lkn sijui ilikuwaje wakaachana ..shetani hupiga sana ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…