Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

Huwa napata shida mno sasa huko kuingilia ndoa ya mwenzio kwangu ni ushamba mno ...fuatilia yako
 
Huyu mrombo sijui mmachame naona hajielewi kabisa
 
sipendi sana jinc huyu dada anavyovaa..ila ni uhuru wake na maisha yake so hatuna haja ya kumpigia kelele
 
Halafu eti watu hawawapendi wanaume wanaonyanyasa wanawake huku wanawake hao hao wako mstari wa mbele kunyanyasa na kunyanyapaa wanawake wenzao.

Prejudice ni mbaya sana hususan ukiwa nayo halafu hujui hata Kama unayo.
 
Kwanini wanapenda kumchokoza?

Kwanini kum-Follow mtu ambaye unaona yupo tofauti unavyotaka yeye awe?

Halafu huu msemo, "Msanii ni kioo cha jamii" nadhani watu wengi hawauelewi.
 
I was ready to defend her but, Kumwita Mungu kati ya mitusi na povu ka hilo naona si haki hata kidogo. Joice, umemwita Mungu yupi hapo? Yule kiziwi na kipofu au?? Kwa sababu huyo Mungu uliyemwita inaonekana aidha alikuwa hayupo hapo wakikudhihaki au alikuwa kalala.
Pole zako ila punguza munkareeeeiii. Dah! Women are among the wonders of the world. Halaf na nyiye, Nafasi ya Joice ingelikuwa inahitaji miguu si mngelishinda nyiye?? Pale hatuangalii mapaja, tunasiliza nondo anazomwaga. Waswagaji wengine ndo huangalia mapaja.
 
Hicho kichambo wame deserve mno yani ukute wanaomtukana ni wabovu joyce ni beautiful women na hakuna asiye na kasoro
 
Joyce hana uvumilivu katu nimewahi ishi jirani yao ni mkurupukaji sana tena kwa wadada ni shida maana alikoanzia mmmhhh nashindwa kuelezea.......... Awe Patient sana maana waswahili ndio walivo wanasubiri uharibikiwe wafurahie..........
 


Bibie Joyce, kwa nini kujiingiza kwenye kundi la watu kama hawa? Mbona mwisho uankuwa kama wao?

Ninaomba usiombee mabaya uzao wa binadamu kwa sababu watakaoteseka kwa kukosa miguu wala si wao wanakutukana na hawapo. Mateso watayapata maisha yao bila hata wazazi wao kuwepo. Hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu. Muwe na hasira lakini msitende dhambi. Jua lisichwe na uchungu wenu ungalipo. Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu!.

Ninaomba utangue utashi wako wa wenzio kuzaa vilema. Ni vyema kama vipi shughulika nao hao waliokukosea mmalizane lakini si watoto wasio na hatia.

Usiku mwema.
 
As TV presenter akitakiwa kuwa na uvumilivu uliotukuka na busara kuu kwakuwa kipindi chake si cha vichekesho na kuchambana
Bi mdada anajidhalilisha na kudhalilisha wadhamini wa vipindi vyake. Hivi anajua kauli au matendo yasifaa yanaweza kuwaondoa wadhamini wa vipindi vyake?
 
Bi mdada anajidhalilisha na kudhalilisha wadhamini wa vipindi vyake. Hivi anajua kauli au matendo yasifaa yanaweza kuwaondoa wadhamini wa vipindi vyake?
Katanguliza mihemko ya kike zaidi kuliko uhalisia wa kazi yake na mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…