Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
I agree with you MTU anaanzaje kukukosoa jinsi ulivoubwa bana utafikiri wao wanaweza kuumba hata ukucha. Joyce ka struggle kutimiza ndoto zake licha ya changamoto hao wasio jielewa wamtusi. Acha atoe ya moyoni kuliko kuvumilia ujingakwa bindamu yeyote anayeifahamu historia ya maisha ya joyce ambayo yeye mwenyewe hayafichi na mambo ambayo amekuwa akiifanyia jamii ya watanzania haitakuwa haki kumhukumu kwa sasa.anahitaji huruma zetu kwani naye ni binadamu anaumia na anaweza kupotoka kwani yeye siyo malaika. wivu wa baadhi ya kina dada kushindwa kuwa kama yeye kusisababishe joyce avunjike moyo.
Watanzania bila unafiki hatuendi. Nilivojiunga jf nilivumilia matusi nikasema huh ujinga MTU akilianzisha na mie namumalizia kwanini kuvumilia insult aiseeHt hapa Jf full wanafiki
Kuna mtu hapo juu anaanza na herufi "N" anajifanya ana busara hapa wkt ni bingwa wa kutusi wenzake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huna akili wewe rudi shuleI was ready to defend her but, Kumwita Mungu kati ya mitusi na povu ka hilo naona si haki hata kidogo. Joice, umemwita Mungu yupi hapo? Yule kiziwi na kipofu au?? Kwa sababu huyo Mungu uliyemwita inaonekana aidha alikuwa hayupo hapo wakikudhihaki au alikuwa kalala.
Pole zako ila punguza munkareeeeiii. Dah! Women are among the wonders of the world. Halaf na nyiye, Nafasi ya Joice ingelikuwa inahitaji miguu si mngelishinda nyiye?? Pale hatuangalii mapaja, tunasiliza nondo anazomwaga. Waswagaji wengine ndo huangalia mapaja.
Kumbe ushamjuaWatanzania bila unafiki hatuendi. Nilivojiunga jf nilivumilia matusi nikasema huh ujinga MTU akilianzisha na mie namumalizia kwanini kuvumilia insult aisee
Joyce kiria alikuwa housegal sioni cha ajabu. Tangu lini beki tatu akawa na hekma.
Huna akili wewe rudi shule
Mkuu ukishakuwa housegal unabaki kuwa housegal.utatia akili siku mwanao atakapokuletea b3 kama mkweo. hivi kama hawana hekima mnadhubutuje kuwaachia watoto wenu wachanga wawalelee? mwogope mungu.
Mkuu ukishakuwa housegal unabaki kuwa housegal.
Ht hapa Jf full wanafiki
Kuna mtu hapo juu anaanza na herufi "N" anajifanya ana busara hapa wkt ni bingwa wa kutusi wenzake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ukishakuwa housegal unabaki kuwa housegal.
Iwekeni hadharani tusije msemea vibaya kumbe sio kosa lakeAna historia ngumu sana huyu Dada
Mkuu, pole sana ila uvumilivu ni kipimo cha busara. Huyu bi mdada anatakiwa awe mvumilivu na kuchunga heshima yake mbele ya jamii inayomtizamakwa bindamu yeyote anayeifahamu historia ya maisha ya joyce ambayo yeye mwenyewe hayafichi na mambo ambayo amekuwa akiifanyia jamii ya watanzania haitakuwa haki kumhukumu kwa sasa.anahitaji huruma zetu kwani naye ni binadamu anaumia na anaweza kupotoka kwani yeye siyo malaika. wivu wa baadhi ya kina dada kushindwa kuwa kama yeye kusisababishe joyce avunjike moyo.