Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Huyu amekosa staha na ni kupenda sifa za kijinga! Sijui anafikiri analo liandika watu hawalijui..! Mtu mzima akikosa staha ni aibu sana...
kabisa ila huyu wa sasa ndo joyce mwenyewe yule wa mwanzo alikua fake maana alikua anatafuya fame kashaipata sasa ndo tunaona rangi zakd orijino zote