Joyce Kiria naye ni mmojawapo wa wanawake aliyetelekezwa, amekwenda kuitikia ofisini kwa RC Paul Makonda

Makamanda okoeni jahazi..
Hiki ndo kipind cha ccm kumtumia mana kasahau hata make up utasema anatembeza mihogo kitaa wakat anajina kubwa la kibiashara
 
Masta amekukosea nini aseee??maana umempa za chembe hatarii
 
Joy alianza kuchanganyikiwa tokea Kilewo akose ubunge!yaani huyu mama bana Mungu anamuona ana tamaa mno! haya kashavunja ndoa yake ngoja viben 10 vianze kumchangamkia le superwoman
 
Kama ametelekezwa basi amefanya vyema kuitikia wito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…