Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Iyo sentensi uliyo andika mwishoni umeandika kiswahili au ki kwenu maana usije ukawa una mkosoa Ndalichako kumbe wewe mwenyewe popoma. Ki taaluma uyo Mama Ndalichako yuko vizuri kwaiyo usimchukulie poa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks, ilikuwa ni predictive text inayokuwa auto generated na android keyboard. Nime edit ile typo
 
English ipo poaa kabisa,hapo haujaelewa nini?Mumuwache dada Joyce.Wewe hapo unamcheka wakati English ulipata mswaki wa whitedent.
 
Hivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???

Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!

English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...

Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..

"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.

Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...

Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi mtuambie Aon
Basi hivi leo Watuambie aongee rugha gani maana hata kiswahili kinamsumbua
Wewe mtwa mkulu, KISWAHILI chenyewe kinakushinda. Nina MASHAKA SANA na URAIA wako.
Tanzania huwa hatutumii neno" RUGHA" sisi hutumia neno "LUGHA"
Wahusika wakikutafuta ili kukuhoji na kukuuliza kuhusu URAIA wako, naomba USILAUMU mtu yeyote!!!!!
Sababu neno "RUGHA" si lugha ya Kitanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wacha masihara bwana
Hii nayo ni habari?

Jamani tuache ujinga basi maana nyie wenyewe mfumo wetu wa elimu mnaujua.

Mtu mwingine mpaka anapata PhD neo analoweza kulitamka kwa ufasaha ni 'is'.

In God we Trust
 
shige2
Nitakumbuka daima mirere
Wewe mtwa mkulu, KISWAHILI chenyewe kinakushinda. Nina MASHAKA SANA na URAIA wako.
Tanzania huwa hatutumii neno" RUGHA" sisi hutumia neno "LUGHA"
Wahusika wakikutafuta na kukuuliza kuhusu URAIA wako, naomba USILAUMU mtu yeyote!!!!!
Sababu neno "RUGHA" si lugha ya Kitanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani si ni yule waziri wa elimu?
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606

In God we Trust
 
Naona umeamua kumtandika kwa maneno
Hicho ni kiingereza cha ndani kabisa huko UK na ukiwa kilaza lazima mama akuache, mama anaongea KiEnglish makini sana..

In God we Trust
 
PhD kwenye ubora wake
Hata mie niliyedrop masomo ya History; Geography na Biology nikiwa kidato cha pili namzidi.

Ila wao wanasema ni kigugumizi ndiyo kinamsumbua.

In God we Trust
 
Ina maana wewe ndiye ulimsikiliza pekee yako?
Iyo sentensi uliyo andika mwishoni umeandika kiswahili au ki kwenu maana usije ukawa una mkosoa Ndalichako kumbe wewe mwenyewe popoma. Ki taaluma uyo Mama Ndalichako yuko vizuri kwaiyo usimchukulie poa.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Aliboronga baraza la mitihani ujue
Wewe ndiye mjinga. Elimu ya Tanzania tunajifunza English kama somo compulsory kuanzia Std 1 mpaka O-level, yaani miaka 11. Na ni language of instruction kwa masomo yote kasoro Kiswahili kuanzia Form 1 hadi University yaani miaka mingine 9. Kisha kama unafanya Masters na PhD una miaka mingine 5. Kwa ujumla ana minimum ya miaka 25 ambayo alikuwa involved au kujifunza lugha au kutumia lugha ya Kiingereza

Hakuna excuse ya kusema eti Watanzania lugha yetu tunayoongea sana ni Kiswahili ndiyo uongee English fyongo kama hiyo ya Joyce. Kulazimisha kuongea "broken English" ni more damaging kuliko kuongea Kiswahili then mkalimani akakusaidia kutafsiri.

Kubalini tu kuwa Kiingereza hakimpendi, abakie kwenye Kiswahili tu, otherwise anajiaibisha kama Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.

In God we Trust
 
Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?

Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??

Hovyo kabisa ,shithole mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo msemaji wa wizara au?? Mleta hoja hajasema kuwa mamaa hajasoma ila amesema; Huyu ni msomi mbobezi, akashangaa kuwa aliwezaje kujieleza huko huko alikoipatia hiyo Phd yake?? Hajamdharau kuwa kasoma.
Ya pili, wewe unayeidharau hiyo lugha ya malkia, mbona unaitumia tena hapa hapa?? Kweli tuna shithole minds
 
Back
Top Bottom