Thanks, ilikuwa ni predictive text inayokuwa auto generated na android keyboard. Nime edit ile typoIyo sentensi uliyo andika mwishoni umeandika kiswahili au ki kwenu maana usije ukawa una mkosoa Ndalichako kumbe wewe mwenyewe popoma. Ki taaluma uyo Mama Ndalichako yuko vizuri kwaiyo usimchukulie poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mtwa mkulu, KISWAHILI chenyewe kinakushinda. Nina MASHAKA SANA na URAIA wako.Basi mtuambie Aon
Basi hivi leo Watuambie aongee rugha gani maana hata kiswahili kinamsumbua
Hii nayo ni habari?
Jamani tuache ujinga basi maana nyie wenyewe mfumo wetu wa elimu mnaujua.
Mtu mwingine mpaka anapata PhD neo analoweza kulitamka kwa ufasaha ni 'is'.
Wewe mtwa mkulu, KISWAHILI chenyewe kinakushinda. Nina MASHAKA SANA na URAIA wako.
Tanzania huwa hatutumii neno" RUGHA" sisi hutumia neno "LUGHA"
Wahusika wakikutafuta na kukuuliza kuhusu URAIA wako, naomba USILAUMU mtu yeyote!!!!!
Sababu neno "RUGHA" si lugha ya Kitanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Hicho ni kiingereza cha ndani kabisa huko UK na ukiwa kilaza lazima mama akuache, mama anaongea KiEnglish makini sana..
Hata mie niliyedrop masomo ya History; Geography na Biology nikiwa kidato cha pili namzidi.
Ila wao wanasema ni kigugumizi ndiyo kinamsumbua.
Tuliza kidonda wewe dawa ikuingie vema ili uponeHuna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo sentensi uliyo andika mwishoni umeandika kiswahili au ki kwenu maana usije ukawa una mkosoa Ndalichako kumbe wewe mwenyewe popoma. Ki taaluma uyo Mama Ndalichako yuko vizuri kwaiyo usimchukulie poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Linapokuja swala la huyu mama huwa unasimama kidete π
rugha tena,hivi sikuhizi sio kama zamani?Basi mtuambie Aon
Basi hivi leo Watuambie aongee rugha gani maana hata kiswahili kinamsumbua
Wacha kutuvunjia heshima sisi walimu, hujui tupo wengi sana hapa Tanzania?Kiingeleza Cha kiualimu alimu
Wewe ndiye mjinga. Elimu ya Tanzania tunajifunza English kama somo compulsory kuanzia Std 1 mpaka O-level, yaani miaka 11. Na ni language of instruction kwa masomo yote kasoro Kiswahili kuanzia Form 1 hadi University yaani miaka mingine 9. Kisha kama unafanya Masters na PhD una miaka mingine 5. Kwa ujumla ana minimum ya miaka 25 ambayo alikuwa involved au kujifunza lugha au kutumia lugha ya Kiingereza
Hakuna excuse ya kusema eti Watanzania lugha yetu tunayoongea sana ni Kiswahili ndiyo uongee English fyongo kama hiyo ya Joyce. Kulazimisha kuongea "broken English" ni more damaging kuliko kuongea Kiswahili then mkalimani akakusaidia kutafsiri.
Kubalini tu kuwa Kiingereza hakimpendi, abakie kwenye Kiswahili tu, otherwise anajiaibisha kama Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.
We ndo msemaji wa wizara au?? Mleta hoja hajasema kuwa mamaa hajasoma ila amesema; Huyu ni msomi mbobezi, akashangaa kuwa aliwezaje kujieleza huko huko alikoipatia hiyo Phd yake?? Hajamdharau kuwa kasoma.Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni mbovu wa Kiingereza kama Joyce ndiyo maana waja kwa matusi. Siwezi kukurudishia tusi.
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usijekuwa sawa na yeye.... (Mithali 24:6)