du kwa hiyo hata wakati wa kumkamata jambazi mwenye silaha askari lazima ajitambulishe? du sheria tamu kwa bongo
umesahau hizi:
nikikumbuka mengine nitawapa mkanda.
- iwapo askari polisi ataamua kumpekua mtuhumiwa, mtuhumiwa ana haki ya kumpekua askari polisi kabla ya kupekuliwa yeye mwenyewe
- pia, askari polisi hawana haki ya kuingia kwenye gari, nyumba au ofisi ya mtu wanayemtuhumu, kwa madhumuni ya kufanya upekuzi, pasi na kuwapo kwa (a) hati ya upekuzi ambayo hutolewa mahakamani, (b) mashahidi wanaotambulika rasmi kisheria, kama vile, mwenyekiti/mjumbe wa serikali ya mtaa au mwenyekiti wa nyumba kumi kumi (iwapo mfumo huo unatumika), au (c) jirani wa myu anayetuhumiwa
- aidha, mtuhumiwa hatakamatwa au kupekuliwa na askari polisi baada ya saa 12.30 jioni au kabla ya saa 12.30 alfajiri, kwa mujibu wa mwendendo wa makosa ya jinai (penal code act), isipokuwa tu, kama kutakuwa na ushahidi wa kutosha kwamba, kumpekua mtuhumiwa kabla ya saa 12.30 alfajiri au baada ya saa 12.30 jioni kunaweza kuleta madhara kwa askari polisi, mashahidi au watu wengine wowote wale
./mwana wa haki
synonyms! mkuu unatisha!Asante,wabheja, sancho mukwai,tuhongise,sante kalesa,dankie,aika, mwalemi,enaa, wasalipa!
Raia ana haki ya kujua elimu ya anayemkamata
mkuu picha inahusiana nini na hii mada yetu???huku sio facebook, mndengereko Ibrahim ally MbondeMmmmh Asande kwa kutufumbua macho.
Kikubwa alichotoa ni uelewa lakini sheria bila kutaja sheria na vifungu vyake ni porojo tupu
juzi nilienda kumdhamini mtu polisi wakati nakuta mtuhumiwa anahojiwa na Askari zaidi ya watano tena kwa ukali sana kiasi ambacho mtuhumiwa kapanikiHizo haki na nyingine nyingi tu Zinavunjwa kila leo na polisi. Ama kwa makusudi ama kwa wao polisi kudhani wako juu ya sheria. Kwa nchi kama Tanzania Polisi hujifanya mahakimu. nitajie aliywahi kulalmikia kuhusu unyanyasaji wa polisi na akashinda! sana sana polisi wakibaini mwenzao kacheza Faul basi ni quick transfer! Hayo labda ughaibuni. Maana Polisi waweza kuwakoromea mpaka wakaingia mitini!! as afar as wakigundua kuwa kuwa wajua haki zako. Jifanye kujua hakia zako katika vituo vya Polisi Tanzania uone vijana wa Said Mwema watakavyokurarua na virungu!!