Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Kwa hiyo jizi likivamia usiku wa manane inabidi kisheria tusubiri kuche ndio tiulikimbize kulikamata na kulisachi?


We Dilunga kasome sheria upya, unawapotosha watu hapa ili wakikamatwa wajikute wanajiweka katika mazingira magumu? Bikra kaeleza vema sana hapo juu. Halafu sio Penal Code Act labda ulikuwa unataka kutueleza kuhusu Criminal Procedure Act ama? Na maelezo uliyoyaweka hapa hayapo kwenye sheria hiyo. Utapekuliwa ucku au mchana s.24 cpa. Ni premises tu zenye option ya upekuzi. Okey??????????? @ Dulinga
 
Ni kweli raia wengi hatujui haki zetu kisheria hivyo kupelekea kupigwa hata vibao tufikapo kituo cha polisi hii mm ilikua ciipattii picha maana pale ni usalama wa raia na mali zao iweje upigwe,?
 
jamani vipi kuhusu polisi kumpiga mtu kituoni anapopelekwa na matajiri fulani au watu wanaomzidi uwezo kwa tofauti mbalimbali?
 
mwenye kukataa kuhesabiwa anashtakiwa! na hukmu yake nini?
 
sawa tunacho kiongea bt hao makaki watakupa hiyo nafac ya kujidai.................
 
kwa tanzania hizi haki kuzipata ni issue, police wanapo kukamata, huchukua fedha zako na ukiwaomba unakua matatani
 
Tatizo raia tunaweka chuki na uadui kwa vyombo hivi na hpo ndipo utata unatokea kupata elimu kama hii sio kubishana nao kuna askari wengine hawazijui hizi sheria
 
Bikra naomba ufafanuzi kidogo kuhusu dhamana.
Kumekuwa na tabia ya polisi kuzuia dhamana kwa mtuhumiwa nyakati za usiku(pindi wanaposhusha bendera ya taifa). Je huo ndio utaratibu wa kisheria ama dhamana ni muda wowote?

Swali la pili linaloendana na la kwanza, Je kila mtuhumiwa anayefikishwa polisi kwa sababu ya tuhuma fulani ni lazima awekwe ndani ama baada ya kutoa maelezo yake anaweza kuruhusiwa kuondoka bila kulazimika kudhaminiwa ama kuwekwa ndani na kama watamhitaji tena watamueleza siku gani arudi?
 
Last edited by a moderator:
mi napenda kujua ni mambo yapi yanaweza kuishaiwishi mahakama kutoa decree ya divorce, je ni mahaka ipi inajurisdiction hiyo. nisheria zipi na vifungu vipi vinaweza kuangaliwa ili divorce iwe possibble hapa tanzania? what a legal consequences to both parties after divorce interms of matrimonial property and children. please help me comreds.
 
mi napenda kujua ni mambo yapi yanaweza kuishaiwishi mahakama kutoa decree ya divorce, je ni mahaka ipi inajurisdiction hiyo. nisheria zipi na vifungu vipi vinaweza kuangaliwa ili divorce iwe possibble hapa tanzania? what a legal consequences to both parties after divorce interms of matrimonial property and children. please help me comreds.

1. the relevant law is the Law of Marriage Act CAP 29 RE 2002

2. Hakuna jambo lolote linaloweza kuishawishi mahakama kutoa hiyo decree ila tu endapo mahakama itaridhika kuwa ndoa imevunjika kiasi cha kutoweza kurekebishika (irreparably broken) as per section 99 of the Act. It should be noted that if the petitioner for divorce wants a divorce upon his own wrongdoing the divorce shall not be granted, section 107 of the Act.

3. All courts of original jurisdiction has power to hear divorce issues, primary to high court of tanzania, section 76

4. After marriage there will be division of matrimonial properties, then custody will be granted and sometimes maintenance order may be granted i.e one party may be required to maintain the other for his life time.

Kuvunja ndoa si mchezo ndugu yangu.
 
Ina maana haya maneno ya kisheria hayana kiswahili!!!!??? Pia mbona kichwa cha habari na kilichoandikwa ndani ni pilau na mlenda?
 
Tanx sana ndugu kwa kuiamsha jamii yetu ya tanzania ambayo imelala kwa mambo mengi especially kisheria na haki za raia. Big up sana.
 
  • Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako.
    • Mwulize jina lake
    • Mwulize namba yake ya uaskari
  • Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa.
  • Raia ana haki ya kuwajulisha ndugu, jamaa ama sehemu anakofanyia kazi kwamba ama amekamatwa na polisi ama Taasisi ya Kuzuia Rushwa.
  • Raia ana haki ya kuomba na kupewa dhamana wakati akiwa kituo cha polisi ama Taasisi ya kuzuia rushwa.
    • Hutakiwi kutoa fedha kama dhamana uwapo kituo cha polisi ama Taasisi ya Kuzuia Rushwa, isipokuwa maelezo utakayoandika.
  • Raia ana haki ya kuwaeleza polisi ama Maafisa wa Kuzuia Rushwa kwamba lolote atakalosema linaweza kutumiwa kama ushahidi mahakamani, na asiburuzwe kuandika tu.
  • Raia ana haki ya kuomba Wakili wake awepo kituo cha polisi ama Taasisi ya Kuzuia Rushwa wakati anatoa maelezo yake.
  • Raia ana haki ya kuyasoma kabla ya kutia sahihi yake.
  • Raia ana haki ya kudai risiti ya orodha ya vitu vyake/fedha zake alizozitoa ama kukabidhi kituo cha polisi ama Taasisi ya Kuzuia Rushwa.
  • Raia kama ni mwanamke ana haki ya kupekuliwa na polisi wa kike, na iwapo hakuna polisi mwanamke, basi mwanamke yeyote na vile vile kwa mwanamume.
  • Raia ana haki ya kufikishwa mahakamani katika muda usiozidi saa 24 tangu alipokamatwa na kufikishwa kituo cha polisi.
[/QUOTE
You have the right to remain silent. Anything you say or do can and will be held against you in a court of law. You have the right to an attorney If you cannot afford an attorney, one will be provided for you
 
je ni haki kukamatwa na kulazimishwa kumtafuta aliyetiliwa shaka?
Sio haki kabisa,japo uwa linafanywa mara nyingi,mtu anatakiwa kukamatwa kwa kosa alilolifanya yeye mwenyewe binafsi.

Kukamata mtu in order to compell the appearance of another person inaitwa substitution of arrest na ni criminal case,kuna case law nyingi za polisi kudaiwa fidia na hata kushitakiwa kwa kosa la jinai kwa ajili ya substitution arrest which is by itself unlawful detention/arbirtrary arrest
 
Asante mkuu, kwenye haki ya kupata dhamana ikumbukwe kwamba si makosa yote yanapata dhamana. Kwa mfano asije raia akatuhumiwa kwa mauaji alafu akadai dhamana. Murder haina dhamana.....
 
Back
Top Bottom