Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

duh! uliyo yasema ni sahihi kabisa umenifunguwa sana ila kwa uongozi tulio nao kuyatekeleza hayo ni ndoto kwavile rushwa imeamia selekalini mwanyewe siunaona wanavyo jiuzuru vuwa magamba? aaaaaa! Mungu atusaidie tu tutafika tuu
 
Ni kwel. Haki zimeandikwa vema ila implimentation inakuw shida sana. Na naamin vyombo vya sheria vya tz viko kwa wenye nazo n maskin atabak kuonewa hat kam hak n yake
 
duh! uliyo yasema ni sahihi kabisa umenifunguwa sana ila kwa uongozi tulio nao kuyatekeleza hayo ni ndoto kwavile rushwa imeamia selekalini mwanyewe siunaona wanavyo jiuzuru vuwa magamba? aaaaaa! Mungu atusaidie tu tutafika tuu

kaka kweli ww unaelmisha,raia tutambue haki zetu hata kama una kosa na uko mikonon mwa polic.Hivi polic akikukamata ukiwa na kosa kwenye gar yako mf.huna bima,nk na wkt huo nae ana gar/pkpk ambayo ina kosa kawa lako/yako,je mm kama raia nina haki ya kumwulza nae mbona hana bima au kosa lingne kwenye usafr wake? Wanasheria ninaomba mtujuze.
 
Kwanza naomba ukaribisho wenu hapa kiwanjani,

Mada hii imenigusa sana, lakini ni nani atakayethubutu kumfunga Paka kengele? wakati sisi wote ni panya? wazo langu ni kwamba huku huku juu kabla hujafika kwa wanausalama (polisi) kuwe na uwezekano pale pale polisi yaani pale kituoni angalau zibandikwe hizi sheria ukutani hii iwe hatua ya kwanza ambayo itawasaidia wananchi waliokamatwa na hata wale wanausalama wasiojua sheria husika.

Tatizo alitoisha labda litapungua kwa asilimia moja, ni wazo langu tu , na nashukuru sana kwa ukaribisho wenu
 
Panya wakiwa wengi huwa na nguvu kuliko paka japokua panya amejengeka na kuathirika kisaikolojia kutokana ukali wa meno ya paka ; i believe one day wananchi watakua huru na hawa paka meno yao yataishia kua gutu penye haki
 
Raia ana haki ya kukataa kushikwa au kufungwa au kutumika nguvu za namna yoyote ile katika kumfikisha kituo cha polisi pale atakapokuwa tayari kuelekea kituoni mwenyewe.
 
Nimeipenda hii,ni vyema tukazikazingatia haya!
 
jaman wapendwa m nauhakika ata baadhi ya polisi wageni izo sheria hawazijui so wanajifunza kutoka kw waliowatangulia coz ukiwambia polisi kuwa ooh ibara ya 13, ibara ndogo ya 6/c ya katiba wanakwambia unajifanya msomi ndo wanazidisha nguvu yao! Ufanyike uchunguz jaman kwa ao polisi kama kweli wanazifaam izo sheria! Asanten
 
Ahsante sana kwa elimu hii bora, askari polisi akichubua sheria hizi nitafanyaje ili ninfikishe mahakamani bila kupitia polisi?
 
Umesahau hizi:

  • Iwapo askari polisi ataamua kumpekua mtuhumiwa, mtuhumiwa ana haki ya kumpekua askari polisi KABLA ya kupekuliwa yeye mwenyewe
  • Pia, askari polisi hawana haki ya kuingia kwenye gari, nyumba au ofisi ya mtu wanayemtuhumu, kwa madhumuni ya kufanya upekuzi, pasi na kuwapo kwa (a) hati ya upekuzi ambayo hutolewa mahakamani, (b) mashahidi wanaotambulika rasmi kisheria, kama vile, mwenyekiti/mjumbe wa serikali ya mtaa au mwenyekiti wa nyumba kumi kumi (iwapo mfumo huo unatumika), au (c) jirani wa myu anayetuhumiwa
  • Aidha, mtuhumiwa hatakamatwa au kupekuliwa na askari polisi baada ya saa 12.30 jioni au kabla ya saa 12.30 alfajiri, kwa mujibu wa Mwendendo wa Makosa ya Jinai (Penal Code Act), isipokuwa tu, kama kutakuwa na ushahidi wa kutosha kwamba, kumpekua mtuhumiwa kabla ya saa 12.30 alfajiri au baada ya saa 12.30 jioni kunaweza kuleta madhara kwa askari polisi, mashahidi au watu wengine wowote wale
Nikikumbuka mengine nitawapa mkanda.

./Mwana wa Haki

Ok, Sheria imejali haki za binadamu wote. Vijana wetu watapata muda wa kupumzika na wenzi wao kwani doria za usiku kutakuwa hakuna. Vituo vyote vya porisi vitafunguliwa saa 12:30 asubhi juu ya alama na kufungwa saa 12:30 jioni.
 
Tunashukuru kwa maelezo juu ya haki za raia mara akamatwapo na polisi au toothless TAKUKURU. Napenda pia kuuliza ni haki zipi alizonazo mahabusi anapokuwa rumande? na ni haki zipi alizonazo mshitakiwa au mlalamikaji awapo mahakamani? Naomba maelezo ya kisheria.
 
Raia ana haki ya kujua kwa nini amekamatwa na mambo mengine ya muhim,isipokuwa polisi wanatumia mabavu zaidi kuliko busara hili ndio tatizo lao kubwa.Jambo la kufanya ni kuwatoa kwenye vyombo vya habari kila siku mpaka wabadilike
 
Back
Top Bottom