BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Arusha mwaka huu hakuna cha joto sijui imekuwaje leo bado ipo 14⁰ç
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha mwaka huu hakuna cha joto sijui imekuwaje leo bado ipo 14⁰ç
Nadhani ni weweWalijua utatumia common sense kufikiria,au wewe uliona inawezekana binadamu akanywa lita 60 kwa siku?
Wanasiasa wakudharau halafu uruhusu na TMA wakudharau?
Hehimu kichwa chako mkuu,kiwiliwili chako hakitarajii ukiumize kama TMA wanavyotaka.Kiokoe.
Hii ni kwa pwaniHuwa tunaumizwa na joto September hadi March inakuwaje iwe wiki 8-9
Halafu Wana sayansi haohao watakwambia hiyo mifumo imejitengeneza tu yenyewe hakuna aliyeitengeneza
"Kwa sasa Dar es Salaam"
lini utaibuka Bk kamanda ?
nakubali🙌View attachment 2365836Nitakua mapumziko hapa
Nadharia ya newton ya kwamba kitu kitakua katika Hali tulivu au mwendo uleule mpaka itapotokea Kani itayobadilisha Hilo .yapasa imtie akili mwanasayansi yeyote kuwa solar system au universe Kama mifumo yupo aliyeisanifu,mwanasayansi gani anaamini akikuta nyumba porini mbali itakua imejijenga yenyewe na si kujengwa!?Wanayohaki Kwa sababu ethics zao zinawataka mpaka wawe na uthibitisho