Juhudi hizi za Rais Samia katika kilimo ni neema kwetu

Juhudi hizi za Rais Samia katika kilimo ni neema kwetu

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Je wajua? 60% ya watanzania wameajiriwa katika sekta ya kilimo.

UMWAGILIAJI Kuanzia msimu ujao wa kilimo, Serikali chini ya Rais Samia kuwajengea Wakulima wa zao la chai wa mikoa yote mabwawa makubwa ili waanze kulima zao hilo kwa njia ya umwagiliaji ili kuongeza tija na uzalishaji.Tanzania ina eneo linalofaa kwa umwagiliaji Hekta milioni 29.

BEI YA MBOLEA Tanzania inakwenda kuwa kati ya nchi chache Duniani ambazo wakulima wake wanapata pembejeo kwa bei ya chini zaidi.

Mfano, mbolea zote za kukuzia aina zote za YARA zilizokuwa zikiuzwa TZS 122,695 sasa zitauzwa TZS 70,000 pamoja na mbolea za NPK huku mbolea aina SA iliyokuwa ikiuzwa TZS 82,852 sasa itauzwa TZS 50,000..
 
Je wajua? 60% ya watanzania wameajiriwa katika sekta ya kilimo.

UMWAGILIAJI Kuanzia msimu ujao wa kilimo, Serikali chini ya Rais Samia kuwajengea Wakulima wa zao....
Kabla ya March 2021 Unafahamu Bei ya mbolea na pembejeo za kilimo zilikuwa kiasi gani? Na alipopandisha sisi wakulima tukahoji Unafahamu jibu la huyo mama ako unaejioendekeza kwake?

Leo kimemsibu Nini kujifanya kushusha? Majibu anayo na kabla ya December mtamfuata huko makunduchi awape chakula Cha msaada malofa nyie mnaosifia upumbavu wake.

Kwa kukuongezea unadhani mfumo alioweka wa wakulima kupata hiyo mbolea ni rafiki au Kuna mtego umewekwa hapo? Endeleeni kupiga zumati mitandaoni mtuachie filed sisi wenyewe.
 
Kabla ya March 2021 Unafahamu Bei ya mbolea na pembejeo za kilimo zilikuwa kiasi gani? Na alipopandisha sisi wakulima tukahoji Unafahamu jibu la huyo mama ako unaejioendekeza kwake? Leo kimemsibu Nini kujifanya kushusha...
Ilikuwa 65 kwa mfuko
 
Hili ni jambo zuri na la kupendeza sisi wakulima tumelipokea kwa mikono miwili
 
Kabla ya March 2021 Unafahamu Bei ya mbolea na pembejeo za kilimo zilikuwa kiasi gani? Na alipopandisha sisi wakulima tukahoji Unafahamu jibu la huyo mama ako unaejioendekeza kwake?

Leo kimemsibu Nini kujifanya kushusha? Majibu anayo na kabla ya December mtamfuata huko makunduchi awape chakula Cha msaada malofa nyie mnaosifia upumbavu wake.

Kwa kukuongezea unadhani mfumo alioweka wa wakulima kupata hiyo mbolea ni rafiki au Kuna mtego umewekwa hapo? Endeleeni kupiga zumati mitandaoni mtuachie filed sisi wenyewe.
Kwaiyo unapinga tena kupunguzwa kwa bei ya mbolea unataka zibaki pale pale?
kwa wakulima halisi wamefurahi sana maana mfumko wa bei hapangi Rais ndio maana ameamua kupunguza bei ili wakulima wa hali ya chini waweze kuafford pia
 
Hili ni jambo zuri na la kupendeza sisi wakulima tumelipokea kwa mikono miwili
Ni jambo zuri sana hasa kwa wakulima wa hali ya chini wamefurahi zaidi maana serikali imeamua kumuinua mkulima na kukipa kilimo hadhi yake
 
Je wajua? 60% ya watanzania wameajiriwa katika sekta ya kilimo.

UMWAGILIAJI Kuanzia msimu ujao wa kilimo, Serikali chini ya Rais Samia kuwajengea Wakulima wa zao la chai wa mikoa yote mabwawa makubwa ili waanze kulima zao hilo kwa njia ya umwagiliaji ili kuongeza tija na uzalishaji.Tanzania ina eneo linalofaa kwa umwagiliaji Hekta milioni 29.

BEI YA MBOLEA Tanzania inakwenda kuwa kati ya nchi chache Duniani ambazo wakulima wake wanapata pembejeo kwa bei ya chini zaidi.

Mfano, mbolea zote za kukuzia aina zote za YARA zilizokuwa zikiuzwa TZS 122,695 sasa zitauzwa TZS 70,000 pamoja na mbolea za NPK huku mbolea aina SA iliyokuwa ikiuzwa TZS 82,852 sasa itauzwa TZS 50,000..
Kuanzia leo ni marafuku msg za mapambio KWa SSH, maana nyie KWANZA hampendi that's mwampamba ,Mungu anawaona
 
Back
Top Bottom