Na ndio shida yenu ilipo lalia!JPM mwondoe. Hakuna mchango wake wa maana kwenye sekta ya viwanda.
WAtu wanaokimbilia chanjo ya korona bila kuangalia madhara makubwa yaliyopo hadi walioanza kuapta chanjo wameamua kuungna na sera ya Hayati Magufulil, watajali juice tena ya ngano ambayo ni chakula?Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.
Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.
Tanzania allows sale of Kenya juices, wheat flour | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
East Africa: EAC Technical Team Meet in Arusha Over Epa Deal
East African Community sectoral council on trade, industry and investment is meeting in Arusha to deliberate on implementing the Economic Partnership Agreement (EPA) between the European Union (EU) and the EAC, the deal which remain unsigned since 2016.allafrica.com
Walikuwa wana products za matunda mengi tu, kuanzia mango , pineapple, passion e.tc my favourite ni peachesImetengezwa na mananasi fresh ubora usiyo na mashaka.
Tupe mifano ya bidhaa hizoUnaongelea mambo usiyoyafahamu wala hujawi fanya kazi Katika sekta hizo
Wewe hujui kitu, unalalamika bila takwimu
Mpaka sasa, Bidhaa za Kenya ndio zimejaa sokoni
Ni kitu gani cha Kenya hakipo sokoni Tanzania
Huwezi kwepa Dunia ya ushindani wewe ni wale malofa wanaoamini Katika Command economy yaani serikali imiliki viwanda na kuviongoza
Wewe umepitwa na wakati, Jaribu kuwa flexible na kujifunza
Maduka makubwa mengi Tanzania yanachukua Bidhaa Kenya wanakwepa bandari ya Dar
Wewe unatokea mapori ya wapi?
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Kenya cement bei ipo chini sana kuliko TanzaniaViwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.
Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.
Tanzania allows sale of Kenya juices, wheat flour | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
East Africa: EAC Technical Team Meet in Arusha Over Epa Deal
East African Community sectoral council on trade, industry and investment is meeting in Arusha to deliberate on implementing the Economic Partnership Agreement (EPA) between the European Union (EU) and the EAC, the deal which remain unsigned since 2016.allafrica.com
Blue bandTupe mifano ya bidhaa hizo
Siyo jaziba!Ana hoja nzuri sana isipokuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa JAZBA dhidi ya watu wanaotofautiana na mitazamo inayoendana na matakwa ya nafsi yake......
Ajabu moja ya materials za kutengeneza cement hiyo(Coal) zinatokea TanzaniaKenya cement bei ipo chini sana kuliko Tanzania
Taasisi yetu ya Quality Control inabidi ijipange sana kama tunatakushindana kweli.Tiles za goodwill na twyford Tanzanzia mara kadhaa nimeshuhudia zikishindwa kuingia kenya kwa sababu ya ubora hafifu, ,
Twyford wana kiwanda kenya lakini products zao ni level za juu kuliko twyford Tanzania
Bila usbishi wakenya wapi vizuri kwenye quality control
Kwanza huyo sio mfuasi wa chadema.Siyo jaziba!
Bali ni chuki kwa marehremu Magufuli!
Anaamini Magufuli hakufanya chochote ili kuiinua tz badala yake kila alichokuwa anafanya ilikuwa ni kwa ajili ya kuiua tz.
Ndio sababu makosa mengi ya rais Samia wafuasi wa chadema wanayapaka mafuta yasionekane kama ni makosa kwa kengo la kumkomoa marehemu.
Inawezekana ikawa hivyo kulingana na mtazamo wako.....Siyo jaziba!
Bali ni chuki kwa marehremu Magufuli!
Anaamini Magufuli hakufanya chochote ili kuiinua tz badala yake kila alichokuwa anafanya ilikuwa ni kwa ajili ya kuiua tz.
Ndio sababu makosa mengi ya rais Samia wafuasi wa chadema wanayapaka mafuta yasionekane kama ni makosa kwa kengo la kumkomoa marehemu.
Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.
Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.
Tanzania allows sale of Kenya juices, wheat flour | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
East Africa: EAC Technical Team Meet in Arusha Over Epa Deal
East African Community sectoral council on trade, industry and investment is meeting in Arusha to deliberate on implementing the Economic Partnership Agreement (EPA) between the European Union (EU) and the EAC, the deal which remain unsigned since 2016.allafrica.com
Hapo ndo kwenye tatizo, kwa maana Watz tukifanyiwa adjust kwenye kodi bidhaa zitakuwa na ubora mdogo Zaidi ili tupige faida zaidi unatujua vizuri.....!??..niliwahi kumsikia waziri kabudi akisema wamalawi wanapenda sana bidhaa za tanzania, na bidhaa mojawapo aliyoitaja ni sabuni ya unga foma.
..nadhani Tz bado tunaweza kuuza bidhaa kwa majirani wetu wengine kama malawi, zambia, drc congo,..
..lingine ni kujitahidi ili gharama za uzalishaji ktk viwanda vya Tz ziwe chini kuliko majirani zetu wote. Na zaidi tujitahidi ktk kuzalisha bidhaa zenye viwango.
Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kujaribu kuwazibua masikio wajinga.Inawezekana ikawa hivyo kulingana na mtazamo wako.....
Lakini wewe mdau una mtazamo gani juu ya hili.....unadhani nchi yetu imechukua hatua sahihi kuelekea kwenye mabadiliko ya kweli kiuchumi.......??
Cement kwenda kenya !!! Nakataaa, sana sana wao ndo wataleta cement
kuna haja gani ya kuendelea kutumia vitu vyenye poor quality na bei kubwa, simply kwakua vinazalishwa hapa nchini?Ukiachana na nishati, vipi kuhusu mikopo ya riba nafuu huko EU, kupata mkopo wa riba ya 1-3 % huko ni kitu cha kawaida, bongo ni kiwanda gani kinaweza pata huo mkopo, SSH anatengeneza bomu la kujitakia, upuuzi mtupu.
lugha ngumu sana aisee.sasa uliyoandika umetoa wapi mbona article kama haielezi ulichosema wewe.Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.
Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.
Tanzania allows sale of Kenya juices, wheat flour | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
East Africa: EAC Technical Team Meet in Arusha Over Epa Deal
East African Community sectoral council on trade, industry and investment is meeting in Arusha to deliberate on implementing the Economic Partnership Agreement (EPA) between the European Union (EU) and the EAC, the deal which remain unsigned since 2016.allafrica.com
Watuletee tu cement kwa bei safi tu, maana hivi vya Tanzania wametuchosha kwa bei zao za kukomoa!Cement kwenda kenya !!! Nakataaa, sana sana wao ndo wataleta cement