Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.

Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.


Si mnayo TBS? Inafanya nini kama juisi zenu mbovu?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.

Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.


😀
Soma historia kama wewe ni kijana. Viwanda vyote vilivyoko Kenya vilikuwa vyetu kwa pamoja na Uganda kupitia EAC ya zamani iliyoundwa baada tu ya nchi hizi kupata uhuru. Hata hiyo currency ya shillingi ilikuwa moja. Iddi Amini Dada alipoichukua Uganda na sisi kutopenda tukawa buisy kuzozana na huyo Amini. Kenya ikachukua advantage ya mzozano huo na kujimilikisha mali zote za EAC ikiwemo hivyo viwanda na kuvunja EAC. Baada ya kumaliza mzozano huo na Iddi Amini, Tanzania (chini ya JK Nyerere) na Uganda (chini ya Kabuta Mseveni) zilijikuta hazina viwanda, usafiri wa treni wala wa ndege na wala sarafu (currency). Zilirudi back to square one hadi sindano, viberiti, sabuni, dawa ya mswaki etc ilibidi ivinunue kutoka Kenya. Sasa tulikuwa tumeanza ku pick up, hili Kenya hawapendi wanataka tubaki vile vile.
Mtamkumbuka JPM
 
Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.

Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.


Kenya wana cement ya kutosha sana mkuu tena watakuletea na utainunua kwa bei ya tzs elfu 8 mpaka kumi. Kanda ya kaskazini na kanda ya ziwa watakuwa wanufaika sana wa hili manake huko cement ya tz ni zaidi ya elfu 25, ili hali ya Kenya ukienda tu hapo Isibania unaipata kwa elfu 10, Imesababisha vita isiyoisha kati ya polisi na bodaboda wanaobeba hiyo cement toka Kenya kuja Sirari. Kwa TANZANIA hii acha iwe hivo manake maajabu hayaishi Mtwara cement ya Dangote inauzwa bei ghali kuliko DAR, Pwani, Morogoro na pengine hata Dodoma.
 
acha woga we ni mtoto wa kiume,na hizi point zako za history form 3,unajichoresha tu kwenye profile yako miwani mikuubwa lakini roho ya kike.
Maoni yangu, hiyo miwani Wala haina tatizo, nijibu kwa hoja hata Kama una akili kuliko Mimi.
 
JPM mwondoe. Hakuna mchango wake wa maana kwenye sekta ya viwanda.
Kwahio alipopandisha bei ya maziwa yanayotoka nje ili Tanga Fresh na wenzake wasukume gurudumu la maendeleo...kwako ilimaanisha nini
 
Tuongeze ubora katika bidhaa zetu la sivyo tutaachwa kwenye mataa. Mf. Wembe ni sh 200 na wa Kenya bei sawa pesa ya Tz, wa Tz ni butu wa Kenya una makali ya kutosha, sasa nichukuwe wa Tz au Kenya? Pamoja na uzalendo wangu nachukua wa Kenya.
 
Ajabu moja ya materials za kutengeneza cement hiyo(Coal) zinatokea Tanzania

Makaa yatoke mbinga yaende kisumu (Rai Cement ) kutengeneza cement , halafu cement hiyo inakuwa nafuu kuliko ya dangote ambayo makaa yanatoka km 700tu
Hehehehe hawa watunga sera wetu bana
 
Wataweza? Viwanda vya Kenya na vya European Union vina uzoefu wa miaka mingi. Nishati ya umeme kwao ni senti 0.004 ya dola kwa unit wakati sisi ni senti 20 ya dola kwa unit (= TZS 500). Sasa tunatarajia kujenga bomba la kupeleka gesi yetu kutoka Mtwara hadi Kenya kwa bei nafuu ili viwanda vyao vipate nishati ya bei nafuu zaidi ili juices zao watuuzie kwa bei nafuu zaidi.
Wataweza tu, utaogopa mpaka lini?
 
Kenya wana cement ya kutosha sana mkuu tena watakuletea na utainunua kwa bei ya tzs elfu 8 mpaka kumi. Kanda ya kaskazini na kanda ya ziwa watakuwa wanufaika sana wa hili manake huko cement ya tz ni zaidi ya elfu 25, ili hali ya Kenya ukienda tu hapo Isibania unaipata kwa elfu 10, Imesababisha vita isiyoisha kati ya polisi na bodaboda wanaobeba hiyo cement toka Kenya kuja Sirari. Kwa TANZANIA hii acha iwe hivo manake maajabu hayaishi Mtwara cement ya Dangote inauzwa bei ghali kuliko DAR, Pwani, Morogoro na pengine hata Dodoma.
You have clue !
Hiyo vita isiyoisha kwa bodaboda na askari , nimeishuhudia pale sirari, !!
 
Nimeona mnasifia sana ubora wa bidhaa za Kenya na unafuu wake katika upande wa bei....vipi kuhusu KONYAGI? je wako vizuri pia katika ubora? na bei zao ni nzuri?View attachment 1805644
Ni moja ya products zinazotoka kwetu kwenda kenya na kubamba sana zikiwa huko
Japo kuna wakati ziliwahi kurudishwa na kebs pale namanga kwa kuwa quality ilikuwa mbaya. Kwa baadhi ya batches.
 
Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kujaribu kuwazibua masikio wajinga.

Magufuli alikuwa anaongoza taifa la watu wajinga na wapumbavu ambao kwao uccm na uchadema ni agenda yao kuu. Ndio maana kuna mataifa yakikuwa yanasema tupeni sisi huyo mtu atuongoze walau mwezi mmoja tu.

Kila mahali alipokuwa anapita alikuwa anawaambia watu fanyeni kazi, limeni mazao muwe na chakula cha kutosha kisha ziada uzeni nje mpate fedha,! Tena akawambia usipofanya kazi ikija njaa selikali haitakupa chakula itakuacha ufe, ile ilikuwa ni kuwa encourage watu wafanye kazi, ila wajinga wakasema ni mkatili.

Akasema inauma sana kuona unaenda dukani kununua bidhaa toka nje wakati material ya hiyo bidhaa unalala nayo kila siku. Na akijaribu kuwaambia watu wekezeni viwanda vyenu kila kona ya nchi ili muzalishe bidhaa kutokana na material za sehemu husika badala ya kuuza hizo materials kisha mnarudishiwa bidhaa kwa bei juu.

Suala la sukari kwa mfano, ingekuwa nchi yenye watu wenye afya ya akili muda huu tungekuwa tunaongela tuna viwanda hata 20 vya sukari maana alipozuia sukari toka nje wenye mitaji ilitakiwa kwenda kuwekeza kwenye mashamba ya miwa na kufungua maviwanda ili kuhakikisha sasa wanateka soko lote la ndani. Badala yake wakaishia kumtukana.

Magufuli alikuwa anataka kuona badala ya watu kuuza materials na yale materials kurudi kama bidhaa na kuuziwa kwa bei ya juu basi watz wenyewe wafanye yote hayo kisha wauze bidhaa badala ya materials.

Samia anaturudisha kule kule. Yani badala ya kuhamasisha watu wafungue viwanda tuuze na sisi bidhaa yeye anahimiza hivyo vibidhaa vije kwa wingu zaidi. Hatutafika popote.
Suala la sukari nimecheka mpaka mbavu zimeuma, wenye mitaji zao akina nani sasa? We mwenye afya nzuri ya akili huna mtaji si ungefungua kiwanda cha sukari hapo kijijini kwenu. Hahahaha
 
Sikuwahi kulijua hili
Kuna kipind makaa ya mawe yalileta shida , wale wamiliki walikua wakitoa hoja zao na hasara wanayopata kwa kutozalisha, moja wapo ya hoja zao ni hiyo , watashindwa timiza
 
Back
Top Bottom