Juice ya tende na maziwa

Unatuumiza kichwa kujua nini umekusudia. Sijui ni hujui kuandika au una malengo Gani.. Tu kuulize ndio utuelezee nini UNAMAANISHA. Jifunze kuwaandikia Mada properly.. HAPA uko na WATU Wazima ndugu yangu
 
Duh? Ndo thread yako imeisha hivyo?
 
Tatzo sio lake mtaani hakueleweki,

Hapo anaona kaandika paragraph tano zenye maneno 500
 
Milk shake [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
 
Aicee Farkhina uko wp sikuhizi?
 
Naomba kujua vipimo vya material yake ili kuleta radha inasifiwa na wadau. Mfano tende, karanga na hayo maziwa kwa kiasi gani kila kimoja kwa mfano??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…