Naondoka na hiiSex sio kwa ajili ya kufurahishana,ni kwa ajili ya kuzaliana..hakuna mnyama anayefanya zaidi ya dakika tano..ni mkojo tu na ndio mwisho wa tendo...
Nitajie mnyama gani anapiga bao mbili,sijui anaunga magoli..
Utasema mbwa?
Lishangazi lililokubuhu Sura ya nyani Miguu ya ngedere? Hilo ndio lishangaziNa mama Emmy ni lishangazi kweli yani dah, halina shobo wala mazoea na ngedere.
Wewe hujakutana na mcheza picha za Ngono mwenzio sasa imekuaje umepata na Watoto km hamjacheza filamu ya Ngono ambayo haijavuja?Mna bahati mbaya ya kukutana na wacheza porn...
Kapatwa tatizo gani?Kuna jamaa kijijini kwetu enzi za ujana wake alicheza rafu sana kwa wasichana. Alikuwa ananiambia "nakwenda hadi mara 11". Wakati huo mimi nilikuwa haya mambo siyajui, ila nilikuwa nikimwambia "kama unafanya hivyo utaathirika baadaye, utakuwa utakuwa huwezi tena haya mambo." Sijaonana naye tangu wakati huo, lakini wanaokutana naye wanasema nywele zimebakia tu kwenye maskio, na hamjui mke tena. Amekuwa tu mtu wa mwaloni: mvuvi anayevua, piga maji ile mbaya na kulala huko huko na hana mpango na mke wala familia yake. Kwa maneno mengine, amekwisha!
Unaongea vitu viwili tofauti hapa...ukifanya ngono ya kigalatia yani ya kistaarabu sio sawa na porn star ni mpka mvunjike viuno...Wewe hujakutana na mcheza picha za Ngono mwenzio sasa imekuaje umepata na Watoto km hamjacheza filamu ya Ngono ambayo haijavuja?
Kwa hio ukifanya Ngono ya kiebrania ni tofauti na Ngono ya kigalatia au kikorosai?Unaongea vitu viwili tofauti hapa...ukifanya ngono ya kigalatia yani ya kistaarabu sio sawa na porn star ni mpka mvunjike viuno...
Mama Emmy yuko vizuri, ni lishangazi la umri na mwili. Shida tu halina gari...Lishangazi lililokubuhu Sura ya nyani Miguu ya ngedere? Hilo ndio lishangazi
Hii comment ina shawishìiiiiii😂😂Mkuu usioe fanya mishe zako ukipata hamu daka kigoli mmoja ishi nae siku 2 au tatu hamu ikikata endelea na maisha yako, hujaja duniani kuridhisha/kuridhishwa. Maisha ni mafupi sana.
Kinachokera zaidi ni kwamba kumfikisha mwanamke sio kigezo cha kwamba eti hatakuja kukuacha! Unaweza ukawa unamfikisha kileleni na bado akakuacha vile vile 😥wakati wewe unakunywa huo mchanganyiko yeye anakunywa nini? Ukishamsugua mwenyewe aseme amekojoa unapata valuable output ipi?
Unapigana kufukua shimo ambali baada ya kutoka huoni uongo ulioutoaNna MPANGO siku nigonge Ngozi 10 mpaka 20 kwa siku 1 alafu nione inakuaje kikubwa nimekojoa km yeye hajakojoa yeye atakojoa akiwa njiani
Yakheee! Wewe cheza na watoto huo ushauri ni Kwa sisi ambao hatujaoa wala hatuna hata watotoHii comment ina shawishìiiiiii😂😂
Ahahahah.Yakheee! Wewe cheza na watoto huo ushauri ni Kwa sisi ambao hatujaoa wala hatuna hata watoto
Tafuta hela wewe aliyekwambia kuwa umeletwa duniani kufikisha wanawake kileleni ni nani?Wanaume tumeumbwa mateso, Moja ya mateso ni kumfikisha mwanamke kileleni na usipomfikisha haijarishi hisia na anawaza nini lawama ni kwa mwanaume.
Unaoa mwanamke kashakuwa na wanaume zaidi ya 10 na walikuwa wanamkamia hasa, mtu kama huyu utamridhisha kweli ndani ya ndoa?
Mtu kalala hajishughulishi, kichwani anawaza, vikoba, ma ex etc tafikaje kileleni kirahisi? Akichelewa au asipofika lawama kwako tena daaa.
Kweli wanaume tumeumbiwa mateso na hili ni moja wapo.
Lishangazi hilo linaongea lugha zenye Namba za kirumi tupuMama Emmy yuko vizuri, ni lishangazi la umri na mwili. Shida tu halina gari...
Mwanamke kama anakufeel hata kwa kidole unamfikisha then mashine inamalizia. Tatizo mapenzi siku hizi yamekuwa kama watu wanalima, kukamiana nk.Wanaume tumeumbwa mateso, Moja ya mateso ni kumfikisha mwanamke kileleni na usipomfikisha haijarishi hisia na anawaza nini lawama ni kwa mwanaume.
Unaoa mwanamke kashakuwa na wanaume zaidi ya 10 na walikuwa wanamkamia hasa, mtu kama huyu utamridhisha kweli ndani ya ndoa?
Mtu kalala hajishughulishi, kichwani anawaza, vikoba, ma ex etc tafikaje kileleni kirahisi? Akichelewa au asipofika lawama kwako tena daaa.
Kweli wanaume tumeumbiwa mateso na hili ni moja wapo.
Kwa sasa mapenzi ni ya kimkakati. Mwanamke anataka sponsor wa mahitaji yake na mwanaume anataka shimo la kumaliza nyege zake. Kama wewe unamaliza haja zako kingono na mwanamke anapata visenti kutoka kwako basi iyo ni win-win, mambo mengine achana nayo. Usijipe majukumu ya kujitesa au kujirudisha nyuma kimaendeleo.Kinachokera zaidi ni kwamba kumfikisha mwanamke sio kigezo cha kwamba eti hatakuja kukuacha! Unaweza ukawa unamfikisha kileleni na bado akakuacha vile vile 😥
Naunga mkono hojaMkuu usioe fanya mishe zako ukipata hamu daka kigoli mmoja ishi nae siku 2 au tatu hamu ikikata endelea na maisha yako, hujaja duniani kuridhisha/kuridhishwa. Maisha ni mafupi sana.