Jukumu la kufikisha mwanamke kileleni ni mzigo mkubwa kwa wanaume tofauti na inavyofikirika

Jukumu la kufikisha mwanamke kileleni ni mzigo mkubwa kwa wanaume tofauti na inavyofikirika

Sex sio kwa ajili ya kufurahishana,ni kwa ajili ya kuzaliana..hakuna mnyama anayefanya zaidi ya dakika tano..ni mkojo tu na ndio mwisho wa tendo...
Nitajie mnyama gani anapiga bao mbili,sijui anaunga magoli..
Utasema mbwa?
Naondoka na hii
 
Mna bahati mbaya ya kukutana na wacheza porn...
Wewe hujakutana na mcheza picha za Ngono mwenzio sasa imekuaje umepata na Watoto km hamjacheza filamu ya Ngono ambayo haijavuja?
 
Kuna jamaa kijijini kwetu enzi za ujana wake alicheza rafu sana kwa wasichana. Alikuwa ananiambia "nakwenda hadi mara 11". Wakati huo mimi nilikuwa haya mambo siyajui, ila nilikuwa nikimwambia "kama unafanya hivyo utaathirika baadaye, utakuwa utakuwa huwezi tena haya mambo." Sijaonana naye tangu wakati huo, lakini wanaokutana naye wanasema nywele zimebakia tu kwenye maskio, na hamjui mke tena. Amekuwa tu mtu wa mwaloni: mvuvi anayevua, piga maji ile mbaya na kulala huko huko na hana mpango na mke wala familia yake. Kwa maneno mengine, amekwisha!
Kapatwa tatizo gani?
 
Wewe hujakutana na mcheza picha za Ngono mwenzio sasa imekuaje umepata na Watoto km hamjacheza filamu ya Ngono ambayo haijavuja?
Unaongea vitu viwili tofauti hapa...ukifanya ngono ya kigalatia yani ya kistaarabu sio sawa na porn star ni mpka mvunjike viuno...
 
Nyie mnakutanaga na magubegube..

Hizi pussssy mbona zinagongeka kiutamu kabisa mpaka akiwa huko akikukumbuka analoa?

IMG_20240710_164234.jpg
 
Unaongea vitu viwili tofauti hapa...ukifanya ngono ya kigalatia yani ya kistaarabu sio sawa na porn star ni mpka mvunjike viuno...
Kwa hio ukifanya Ngono ya kiebrania ni tofauti na Ngono ya kigalatia au kikorosai?
 
wakati wewe unakunywa huo mchanganyiko yeye anakunywa nini? Ukishamsugua mwenyewe aseme amekojoa unapata valuable output ipi?
Kinachokera zaidi ni kwamba kumfikisha mwanamke sio kigezo cha kwamba eti hatakuja kukuacha! Unaweza ukawa unamfikisha kileleni na bado akakuacha vile vile 😥
 
Nna MPANGO siku nigonge Ngozi 10 mpaka 20 kwa siku 1 alafu nione inakuaje kikubwa nimekojoa km yeye hajakojoa yeye atakojoa akiwa njiani
Unapigana kufukua shimo ambali baada ya kutoka huoni uongo ulioutoa
 
Wanaume tumeumbwa mateso, Moja ya mateso ni kumfikisha mwanamke kileleni na usipomfikisha haijarishi hisia na anawaza nini lawama ni kwa mwanaume.

Unaoa mwanamke kashakuwa na wanaume zaidi ya 10 na walikuwa wanamkamia hasa, mtu kama huyu utamridhisha kweli ndani ya ndoa?

Mtu kalala hajishughulishi, kichwani anawaza, vikoba, ma ex etc tafikaje kileleni kirahisi? Akichelewa au asipofika lawama kwako tena daaa.

Kweli wanaume tumeumbiwa mateso na hili ni moja wapo.
Tafuta hela wewe aliyekwambia kuwa umeletwa duniani kufikisha wanawake kileleni ni nani?
 
Kwani kupapasa na kuchezea kisimi na G-spot nayo ni kazi ngumu, au huna taarifa kwamba hivi viungo vinaishi wapi?

Kucheza na chuchu na lips za mwanamke nayo ni kazi ngumu au urahisi ni kumrukia kama jogoo wa kimoja?
 
Wanaume tumeumbwa mateso, Moja ya mateso ni kumfikisha mwanamke kileleni na usipomfikisha haijarishi hisia na anawaza nini lawama ni kwa mwanaume.

Unaoa mwanamke kashakuwa na wanaume zaidi ya 10 na walikuwa wanamkamia hasa, mtu kama huyu utamridhisha kweli ndani ya ndoa?

Mtu kalala hajishughulishi, kichwani anawaza, vikoba, ma ex etc tafikaje kileleni kirahisi? Akichelewa au asipofika lawama kwako tena daaa.

Kweli wanaume tumeumbiwa mateso na hili ni moja wapo.
Mwanamke kama anakufeel hata kwa kidole unamfikisha then mashine inamalizia. Tatizo mapenzi siku hizi yamekuwa kama watu wanalima, kukamiana nk.
 
Kinachokera zaidi ni kwamba kumfikisha mwanamke sio kigezo cha kwamba eti hatakuja kukuacha! Unaweza ukawa unamfikisha kileleni na bado akakuacha vile vile 😥
Kwa sasa mapenzi ni ya kimkakati. Mwanamke anataka sponsor wa mahitaji yake na mwanaume anataka shimo la kumaliza nyege zake. Kama wewe unamaliza haja zako kingono na mwanamke anapata visenti kutoka kwako basi iyo ni win-win, mambo mengine achana nayo. Usijipe majukumu ya kujitesa au kujirudisha nyuma kimaendeleo.
 
Mkuu usioe fanya mishe zako ukipata hamu daka kigoli mmoja ishi nae siku 2 au tatu hamu ikikata endelea na maisha yako, hujaja duniani kuridhisha/kuridhishwa. Maisha ni mafupi sana.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom