Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kujadili ugaidi wa mbowe hadi kujadili jukwaa alilopanda ????? Jikwaa lina maana gani basi kwenye mkutano wa hadhara?Haya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352
Yule jamaa aliacha kukupiga dislike?Chadema watapinga
Yaani hawa mijamaa ni bahili sana hata hela ya jukwaa wanatia mfukoni?Haya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352
Wanatuzuga; issue ya jukwaa la Lissu limedhalilisha Upinzani nchini.Haya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352
CDM sio chama cha majizi kama CCM, hivyo huo ndio uwezo wao.Haya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352
Akidondoka na kuteguka Nyonga mje kusema Serikali inawaandama WapinzaniKutoka kujadili ugaidi wa mbowe hadi kujadili jukwaa alilopanda ????? Jikwaa lina maana gani basi kwenye mkutano wa hadhara?
Haya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352
Mbowe anatengwa sana,tafadhali kamanda hamia CUFHaya majukwaa mbona yanatia aibu! Kha. Mnatumia mamilioni kukodi chopa halafu mnashindwa kufanya logistics ya majukwaa? Ndio mnataka kusema mlimtendea vyema Kamanda Lissu kisa tu mwamba nae yupo jukwaa kama hili?View attachment 2631352