Kama Bunge lenyewe linajiendesha kwa namna ambayo wananchi wameona haikupaswa kuendeshwa kwa namna hiyo, si ajabu hata kidogo mwananchi au wananchi kuona vyama vya kitaaluma au vya kikazi vikiwa na uwezo wa kuchukua nafasi ya Bunge.
Bunge lijichunguze. Je mijadala yao na namna wanavyojiendesha linakidhi vigeo vya kuitwa mhimili wa serikali?
Nadhani Balile anahoja. Asikilizwe