johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kitendo cha Balile kulifananisha Jukwaa la Wahariri na Bunge au Mahakama linafikirisha sana. Yaani kweli Bunge tukufu ndio la kufananishwa na Jukwaa la Wahariri? Yaani kwa sababu bunge linapewa fedha na serikali za kujiendesha?
Kwamba kwa sababu bunge halina vyanzo vyake vya mapato basi nao Jukwaa la Wahariri wanaiomba Serikali iwabebe ili waweze kwenda Urusi na Marekani kujifunza?
Waandishi wa Habari ngachoka kabisa.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Kwamba kwa sababu bunge halina vyanzo vyake vya mapato basi nao Jukwaa la Wahariri wanaiomba Serikali iwabebe ili waweze kwenda Urusi na Marekani kujifunza?
Waandishi wa Habari ngachoka kabisa.
Nawasalimu kwa jina la JMT.