Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.
Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.
Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.
Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.
Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.
Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.
Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.
Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.
Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?
Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!
Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.
Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.
Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.
Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?
Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.
Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.
Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.
Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.
Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.
Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!
Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!
Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.
Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.
Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.
Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.
Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.
Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.
Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?
Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?
Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.
Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.
Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.
Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.
Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.
Acha nipumzike!
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Mtibeli
Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.
Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.
Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.
Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.
Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.
Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.
Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.
Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.
Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?
Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!
Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.
Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.
Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.
Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?
Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.
Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.
Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.
Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.
Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.
Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!
Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!
Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.
Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.
Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.
Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.
Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.
Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.
Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?
Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?
Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.
Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.
Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.
Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.
Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.
Acha nipumzike!
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam