Juliana shonza; Waambie wanawake wenzako kama hawawezi kuhudumia watoto wao wawapeleke kwa Baba Zao full stop na sio hizo ngonjera ulizotoa

Juliana shonza; Waambie wanawake wenzako kama hawawezi kuhudumia watoto wao wawapeleke kwa Baba Zao full stop na sio hizo ngonjera ulizotoa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.

Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.

Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.

Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.

Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.

Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.

Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.

Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.

Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?

Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!

Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.

Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.

Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.

Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?

Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.

Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.

Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.

Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.

Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.

Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!

Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!

Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.

Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.

Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.

Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.

Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.

Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.

Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?

Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?

Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.

Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.

Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.

Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.

Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
 
JULIANA SHONZA; WAAMBIE WANAWAKE WENZAKO KAMA HAWAWEZI KUHUDUMIA WATOTO WAO WAWAPELEKE KWA BABA ZAO FULL STOP NA SIO HIZO NGONJERA ULIZOTOA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.

Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.

Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.

Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.

Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.

Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.

Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.

Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.

Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?

Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!

Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.

Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.

Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.

Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?

Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.

Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.

Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.

Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.

Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.

Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!

Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!

Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.

Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.

Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.

Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.

Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.

Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.

Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?

Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?

Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.

Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.

Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.

Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.

Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Upper cut chembe kidevu
 
Taikon punguza sauti naona huyu Shonza amekutibuwa kwelikweli.

Kwanza naomba kudeclare with all due respect nina rafiki zangu wa kike hapa JF wana watoto na wana cover bill zote bila kumsumbuwa mtu, kwahiyo mchango wangu hauwahusu wao.

Hii thread akiiona Haji Manara basi leo lazima akurushie muhamara.

Kuna malaya ambao wamejiaminisha nyapu zao ndio mtaji na ukizaa naye basi yule mtoto ndio mgodi wake, na wanajiaminisha ile ndio weakness yako utapeleka tu pesa yeye afanyie matumizi mengine na usikute kama kuna fala kalikamata lenyewe ndio linabebeshwa majukumu ya Baba mzazi.

Tuchukuwe case study ya Haji Manara, alijuwa wazi anaowa malaya wa mjini lakini akajijaza ujinga labda pesa za GSM zitamfanya atulie, umalaya ni tabia upo kwenye damu.

Kila mtu hapa ni shahidi Haji Manara hashindwi kutowa pesa za matunzo ya mtoto wake tena amempa jina la Boi Gharib, lakini hata saa mbovu huwa inasema kweli sometimes, yule malaya anataka kumtumia mtoto kukomba pesa kwa Haji amefeli, kwahili Haji ameshinda amemuachia mtoto aanze kumdhalilisha mitandaoni kumpost kwa shida zake binafsi, hawa watoto wakijuwa watakuja kuwashtaki mama zao kwa kuingilia privacy zao.

Miaka 30 ijayo teknolojia imepamba moto unaweza kumkosesha fursa mtoto kwa wendawazimu wako ulioufanya bila ridhaa yake.

Mbo yasiwe hawa vichaa wote cha kusikitisha mentor wao kigagula Mange Kimambi ndio anawajaza ujinga na wanamuamini bila kujuwa sheria za Marekani utake usitake chilsd support inakatwa juu kwa juu ndio maana wale Manigger kuna wakati hawataki kazi za kuajiliwa ili mwisho wa mwezi akatwe pesa apewe malaya aliyemzalisha akanywee pombe.

Nitarudi.......
 
JULIANA SHONZA; WAAMBIE WANAWAKE WENZAKO KAMA HAWAWEZI KUHUDUMIA WATOTO WAO WAWAPELEKE KWA BABA ZAO FULL STOP NA SIO HIZO NGONJERA ULIZOTOA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.

Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.

Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.

Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.

Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.

Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.

Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.

Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.

Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?

Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!

Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.

Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.

Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.

Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?

Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.

Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.

Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.

Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.

Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.

Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!

Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!

Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.

Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.

Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.

Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.

Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.

Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.

Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?

Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?

Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.

Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.

Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.

Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.

Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam

Mkuu umefunguka bara'bara. Pokea maua yako! 💐
 
JULIANA SHONZA; WAAMBIE WANAWAKE WENZAKO KAMA HAWAWEZI KUHUDUMIA WATOTO WAO WAWAPELEKE KWA BABA ZAO FULL STOP NA SIO HIZO NGONJERA ULIZOTOA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.

Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.

Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.

Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.

Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.

Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.

Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.

Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.

Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?

Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!

Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.

Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.

Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.

Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?

Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.

Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.

Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.

Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.

Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.

Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!

Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!

Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.

Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.

Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.

Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.

Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.

Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.

Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?

Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?

Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.

Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.

Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.

Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.

Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Nchi ngum sana mambo ya familia za watu tuziache ,ndo maana sheria zipo, ndugu ya Mayalla au mimi nikashindwa tunza mtoto je nani anajua changamoto zimefanya mtu asichangie kwa mzazi mwenza au familia yake.

By the way nikiwa kijana nilizaa na binti mmoja kwao familia safi ila waliona mie maskini natoka familia maskini , kwamba kwao ilikua haibu kubwa ,yule mtoto wakampeleka nje ya nchi kimasomo anzia akiwa mdogo ,sijawahi muona kwa sura ,kwa sasa ndo ananitafuta kwa kasi sana ,sasa makosa yalikua ya nani ?
 
Maliza kabisa iyo mama hawa ndo wanafanya ufemenist unakomaa tukiendelea kuwafuga fuga.
1721310101980.jpg
 
Taikon punguza sauti naona huyu Shonza amekutibuwa kwelikweli.

Kwanza naomba kudeclare with all due respect nina rafiki zangu wa kike hapa JF wana watoto na wana cover bill zote bila kumsumbuwa mtu, kwahiyo mchango wangu hauwahusu wao.

Hii thread akiiona Haji Manara basi leo lazima akurushie muhamara.

Kuna malaya ambao wamejiaminisha nyapu zao ndio mtaji na ukizaa naye basi yule mtoto ndio mgodi wake, na wanajiaminisha ile ndio weakness yako utapeleka tu pesa yeye afanyie matumizi mengine na usikute kama kuna fala kalikamata lenyewe ndio linabebeshwa majukumu ya Baba mzazi.

Tuchukuwe case study ya Haji Manara, alijuwa wazi anaowa malaya wa mjini lakini akajijaza ujinga labda pesa za GSM zitamfanya atulie, umalaya ni tabia upo kwenye damu.

Kila mtu hapa ni shahidi Haji Manara hashindwi kutowa pesa za matunzo ya mtoto wake tena amempa jina la Boi Gharib, lakini hata saa mbovu huwa inasema kweli sometimes, yule malaya anataka kumtumia mtoto kukomba pesa kwa Haji amefeli, kwahili Haji ameshinda amemuachia mtoto aanze kumdhalilisha mitandaoni kumpost kwa shida zake binafsi, hawa watoto wakijuwa watakuja kuwashtaki mama zao kwa kuingilia privacy zao.

Miaka 30 ijayo teknolojia imepamba moto unaweza kumkosesha fursa mtoto kwa wendawazimu wako ulioufanya bila ridhaa yake.

Mbo yasiwe hawa vichaa wote cha kusikitisha mentor wao kigagula Mange Kimambi ndio anawajaza ujinga na wanamuamini bila kujuwa sheria za Marekani utake usitake chilsd support inakatwa juu kwa juu ndio maana wale Manigger kuna wakati hawataki kazi za kuajiliwa ili mwisho wa mwezi akatwe pesa apewe malaya aliyemzalisha akanywee pombe.

Nitarudi.......
Kama baba .mwenye akili, na unawaza kuwa ke anachukua hela za mtoto kwa starehe, kalipie ada shule, mnunulie mtoto material things kama woana mke anafaidi sana.

Ni kosa kubwa kumhukumu mtoto kwa ugomvi wenu.
 
Yani hii jinsia ina shida sana halafu mkiambiwa ukweli mnakimbilia kuwatukana wanaowaambia ukweli badala ya kujibu hoja, hivi kwanini huwa mnapenda kujiona watakatifu sana na kuwatupia lawama wanawake kwenye kila kitu, sasa ugomvi wa baba na mama unahusiana nini na watoto

Baba anapomkosea mama mbona huwa mnataka watoto wasiingilie kati wala wasiwaone ninyi wabaya, kwa kusema kuwa ugomvi wa wazazi wao hauwahusu ila mama anapomkodea baba basi huo ugomvi unawahusisha mpaka watoto, kwa kusitishiwa huduma ambazo ni haki yao ya msingi na wajibu wako wewe kama baba

Wanawake wanaweza kuwa wabinafsi ila hata siku moja hawawezi kuwa wabinafsi kwa watu wanaowapenda hasa watoto wao wa kuwazaa, hizo hela mnazowatumia mnaona kama wanazifaidi sana siyo, kama wangekuwa wanatumia hizo hela za matunzo vibaya hao watoto wangeishije sasa

Kwenye cases kama hizi kiuhalisia ninyi wanaume ndio wabinafsi kwa sababu hamyafikirii majukumu aliyonayo mwanamke kwa watoto, ukiachilia mbali kubeba mimba, kuzaa, kunyonyesha (maana hayo mnasingizia ni majukumu ya kimaumbile), bado kuna jukumu la kuwalea hao watoto toka wakiwa wachanga hadi watakapoweza kujitegemea, mfano kuwalisha, kuwasafisha, kuwauguza wakiumwa je mnawasaidia hayo

Hayo majukumu siyo ya kimaumbile hata ninyi mnaweza kuyafanya lakini hamko tayari kuyafanya, hata mkiachiwa hao watoto mtaishia kuwapa wanawake wengine wawalelee, ilihali wakiwa kwa mama zao mnategemea mama zao ndio wawalee na hapo hapo wawatafutie pesa wakati huo ninyi wanaume mkiwa mmebweteka tu

Hebu acheni kutafuta visingizio vya kukwepa majukumu yenu ugomvi wenu hauwahusu watoto, hata hao wanawake wawakosee vipi tafuteni namna ya kuhudumia watoto wenu acheni kuplay victims na kutafuta sympathy, hakuna namna mtakwepa kuonekana hamna hatia kwa kuwatelekeza watoto wenu hata msemeje timizeni wajibu wenu

Hayo mambo ya baraka za kina baba sijui malezi mabaya ya kina mama ni propaganda kama propaganda nyingine tu kuna watoto wengi wamefanikiwa huku wakiwa na uhasama na baba zao, na kuna watoto wengi wamelelewa na single mothers na wamekuwa na maadili mema usitake kulazimisha mawazo yako ndio yawe uhalisia, tena usivyo na aibu unaandika kwa kujiamini kabisa kana kwamba uliambiwa wote unaowaandikia humu ni watoto wa primary wasiojua maisha ya mahusiano na ndio wanaanza kujifunza kupitia maandiko yako
 
Nchi ngum sana mambo ya familia za watu tuziache ,ndo maana sheria zipo, ndugu ya Mayalla au mimi nikashindwa tunza mtoto je nani anajua changamoto zimefanya mtu asichangie kwa mzazi mwenza au familia yake.

By the way nikiwa kijana nilizaa na binti mmoja kwao familia safi ila waliona mie maskini natoka familia maskini , kwamba kwao ilikua haibu kubwa ,yule mtoto wakampeleka nje ya nchi kimasomo anzia akiwa mdogo ,sijawahi muona kwa sura ,kwa sasa ndo ananitafuta kwa kasi sana ,sasa makosa yalikua ya nani ?

Mwenye uchumi mzuri ndiye akae na mtoto
 
Kama baba .mwenye akili, na unawaza kuwa ke anachukua hela za mtoto kwa starehe, kalipie ada shule, mnunulie mtoto material things kama woana mke anafaidi sana.

Ni kosa kubwa kumhukumu mtoto kwa ugomvi wenu.

Yaani utumie gharama kubwa kulipia mtoto ambaye unajua ataenda kukuzwa kwa mama mwenye dharau na kiburi kwako. Huyo mwanaume hayupo.

Mwanamke kama hawezi kumtunza mtoto na anajiona hawezi kujizuia kuonyesha uadilifu hata wa kinafiki. Ni aidha alee mtoto mwenyewe kama hataki kumpa Mwanaume au ampe huyo mtoto mwanaume.
 
Back
Top Bottom