Juliana shonza; Waambie wanawake wenzako kama hawawezi kuhudumia watoto wao wawapeleke kwa Baba Zao full stop na sio hizo ngonjera ulizotoa

Juliana shonza; Waambie wanawake wenzako kama hawawezi kuhudumia watoto wao wawapeleke kwa Baba Zao full stop na sio hizo ngonjera ulizotoa

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo.

Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao.

Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza watoto lafu hiyo Moto ilelewe na Mama asiye na Adabu, mwenye dharau na kiburi. Hatuwezi kufanya kitu kama hicho Sisi kama Wanaume. Tunajua matokeo yake.

Unafikiri kama mama analeta dharau na kiburi kwa mwanaume anaweza kumlea Nani akawa mtu wa maana. Si ndio haya matoto ya siku hizi yasiyo na Adabu.

Wewe mwanamke kama unataka kuishi na mtoto wako Hakikisha unauwezo wa kumtunza mtoto au watoto wako full stop.

Kwanza kitendo cha Mama kushindwa kumtunza mtoto wake aliyemzaa kina m- disqualify kuwa Mama.
Yaani Mpaka umtegemee mtu mwingine akulelee watoto uliozaa mwenyewe. KWELI? Hata Wanyama wenyewe watakushangaa Sana.

Juliana Shonza, waambie wanawake wenzako kama imetokea mmetengana, na mwanaume analegalega kutoa matunzo. Mama apambane na Hali yake. Na kama hawezi apeleke watoto kwa Baba yake.

Mtu huna uwezo wa kutunza au kulea watoto wako kinachokufanya uwang'ang'anie ni nini kama sio Roho Mbaya na ushenzi, ubinafsi, ukatili na tabia za kishetani.

Mimi nawajua watoto wengi wanaolelewa na Baba zao na wapo wanaume maarufu Duniani wanalea watoto wao wenyewe tena kwa amani Kabisa.
Watoto wanaishi maisha Safi Kabisa. Kinachokufanya wewe mwanamke umng'ang'anie mtoto ilhali huna uwezo wa kumhudumia ni nini kama sio ushetani na ubinafsi wako?

Kama Baba yake hawezi kumtunza mtoto kwa nini uombe matumizi ya mtoto kutoka kwake?
Acheni ushetani!
Acheni ubinafsi!
Acheni ukatili!

Wanaume wakilea watoto huwezi kuta wanasumbuana na mama watoto. Yaani mtoto anakuwa bila Kesi Wala mazonge. Hakuna kelele mambo yanaenda.
Tena huwezi kuta Baba Akiwa anamlea mtoto wake akamsema Mama vibaya hata kama huyo mama angekuwa anatabia za kiajabuajabu.

Hakuna aliyewazua wanawake kujishughulisha na mambo ya kiuchumi. Dunia ya sasa kila mtu yupo Huru.

Wanaume ambacho hatutakubali Dunia iende irudi ni kukosewa Heshima.

Wewe Mwanamke umezingua, unaleta dharau na Ujuaji. Alafu upo na watoto wangu. Hutaki kunipa alafu utegemee Mimi hao watoto niwachukulie kama watoto wangu kikamilifu. KWELI! Hivi Mnafikiri wanaume ni kama ninyi?

Hakuna mwanaume wa hivyo.
Wanaume tunajua, mwanamke mpumbavu lazima aambukize upumbavu wake kwa watoto.

Yaani uniletee upumbavu alafu kwa upumbavu wako utegemee sijui kuna serikali sijui kitu gani kitanilazimisha niwachukulie watoto unaowalea kama watoto wangu. KWELI?
Hata hao watu serikalini nao watakuwa wawatumii akili sawasawa.

Serikali yenyewe ukiwa upande wa upinzani kuna namna inavyokuchulia ndivyo hivyohivyo katika mambo Mengine.

Wanawake mjue na hili ni tangazo hata kwa watoto wapumbavu kuwa,
Sisi wanaume inapotokea tumezaa na mwanamke mpumbavu asiye na hekima, mwenye kiburi, dharau, asiye na maadili, Kahaba. Tunaamini kuwa tumepoteza.

Hatuhesabu kama tuna watoto na hao Wanawake. Labda wanawake watukabidhi hao watoto tuwalee na kuwakuza Sisi wenyewe na sio vinginevyo.

Na Sisi kama Wanaume na Baba, hatutegemei Jambo lolote kutoka kwa watoto zaidi ya watoto kuwa na maadili mazuri na wenye kuleta heshima katika Jamii.
Sasa kama Mwanamke anadharau na kiburi kwa mwanaume aliyemzalisha unategemea atamlea na kumkuza mtoto kuwa na sifa ya maadili au Jambo la maana lenye kumfanya Baba ajivunie?
Jibu ni Hapana!

Kuna wanawake wapumbavu ambao hudhani akili Zao za kupenda pesa hufikiri na sisi wanaume Tupo hivyo kama wao.
Ndio maana wengi wao husema, ngoja mtoto akue afanikiwe utaleta miguu yako hapa.
Sasa mtoto hata akifanikiwa alafu ni shoga unategemea mwanaume atajivunia huyo mtoto. Au mtoto kakua kafanikiwa lakini anakaa uchi mitandaoni huko au anauza madawa au ni danga unafikiri kuna Baba anajivunia huo upuuzi!

Tutahudumia watoto wetu lakini sio kwa kuweka rehani heshima zetu. Never ever. Tupo radhi Twende Jela.

Namna pekee ya mwanamke kudai pesa na huduma ya watoto hata kama umeachana na mwanaume ni kuwa mtiifu na mwenye maadili.

Lakini ukijifanya kichwa ngumu nakuhakikishia watoto hao unawaingiza mkenge.

Mnasababisha watoto wanapata Laana kijingajinga Kisa maujinga yenu.
Sasa kama Baba hajaridhia kutoa huduma, au anatoa huduma huku anasononeka hivi hao watoto watafika wapi zaidi ya kuleta Laana kwenye jamii na nchi.

Huko Ulaya mashoga na mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka kwa Sababu hiyohiyo.

Inajulikana Baraka za mtoto zinatoka kwa Baba yake Hilo hakuna ambaye atabisha Dunia iende irudi.
Sasa mtoto kama Hana Baraka za Babaake unategemea atakuwa nala maana au zaidi atazidi kusongwa na matatizo na kuleta matatizo.

Mama mtu unagombana na Baba wa watoto wako. HUNA Adabu au labda yeye ni mkorofi lakini unakosa Busara ya kudili na Kesi ndogo kama hizo.
Hivi kama Mama unagombana na Baba watoto kwa kiwango cha dharau unategemea watoto wako Wapate Baraka za Baba kweli?
Au kuna Baba Mwingine?

Uliambiwa serikali inatoa Baraka?
Au uliambiwa Wanasiasa watampa mtoto wako Baraka?
Au uliambiwa ustawi wa jamii ndio watawapa watoto wako Baraka?

Wanawake Kila siku nawaambieni shetani anacheza na nyie kwa akili kubwa na ninyi hamjui Hilo.

Mmegombana na Mumeo Sawa. Mmetengana Sawa.
Zungumzeni kwa Wema Nani akae na watoto. Zingatieni Yule mwenye uwezo wa kiuchumi ndiye akae na watoto.

Ikiwa Baba atakataa kukaa na watoto akakuambia ukae naye. Mwambie atoe Pesa za matumizi na muandikishane.

Mbona rahisi Sana
Lakini sio ulazimishe ukae na watoto alafu matumizi utegemee kwa mwanaume. Wewe ni chizi unayetafuta Laana za kijinga kwa watoto.

Kama Baba hajaridhia ukae na watoto wake unategemea atawaangalia kama watoto wake? Unafikiri atawabariki kwa moyo mkunjufu.
Pumbavu! Tumieni Akili. Haya.

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Umeandika kama wewe bdio mwanamke haladu shonza ndio meanaume

This is too low
 
Yaani utumie gharama kubwa kulipia mtoto ambaye unajua ataenda kukuzwa kwa mama mwenye dharau na kiburi kwako. Huyo mwanaume hayupo.

Mwanamke kama hawezi kumtunza mtoto na anajiona hawezi kujizuia kuonyesha uadilifu hata wa kinafiki. Ni aidha alee mtoto mwenyewe kama hataki kumpa Mwanaume au ampe huyo mtoto mwanaume.
Kilichokufanya ukazaa naye ni nini?

Hebu pelekeni nyege zenu mlipomwagiana sperms

Unazungumzia laana ya mtoto, why usilaaniwe wewe kwanza unayejaza kila tobo
 
Aliyekuambia mtoto akikaa kijijini future yake inaharibika nani, kwanza ninyi si ndio huwa mnasema huku mijini watoto ndio wameharibikiwa kuliko wa vijijini, una takwimu zozote zinazoonesha kuwa watoto wa vijijini ndio future zao huharibika kuliko wa mijini
Sasa ndugu yangu..... baba wa mtoto anajiweza, wewe hapo maisha yamekupiga kaisi kwamba Kukaa na huyo mtoto mjini imekushinda (ndio maana umempeleka mtoto wako kijijini)
Una mtendea haki kweli mwanao kwa kumficha dhidi ya baba yake even though hata English Medium angejichakata akamlipia
Vijijini huko napo maadili mabovu Bora hata huku mjini maana waalimu wanatembea na wanafunzi wao kama hamna kesho, Fanya huo upuuzi mjini mzazi anaweza kukufunga
 
Baba wa kambo anachangia malezi gani kwa mtoto tofauti na ya kiuchumi, toka lini baba akahusika direct kwenye malezi ya watoto (let alone huyo wa kambo), au we hujiulizi kwanini mtoto akiharibikiwa anayetupiwa lawama nyingi ni mama

We sema kabisa kuwa hayo ni mawazo yako binafsi na siyo kanuni ili ijulikane kuwa huna akili, maana uko huru kuwaza vyovyote hata kama ni ujinga ila shida inakuja pale, unapolazimisha huo ujinga wako ndio uwe uhalisia na kila mtu auunge mkono upite bila kupingwa

Vinginevyo serikali nyingi za dunia zisingeweka sheria ya child support toka kwa baba kuenda kwa mama tu, (aliyeachiwa watoto) na si kinyume chake au unataka kusema wewe ndio una akili sana, kuliko serikali nyingi duniani na wanaume wote wanaohudumia watoto wao wanaoishi na mama zao siyo
Mfumo wa Sheria unaozungumzia ni ulitungwa Kipindi ambacho hapakuwa na Haki za Wanawake kufanya Kazi.

Kumbuka zamani wanawake hawakuwa WATU ndio maana waliuzwa kwa kiitwacho Mahari, na pia walinyimwa Haki za KIUTU kama kumiliki Mali na kufanya Kazi.

Wanawake hata kujitunza wao wenyewe walikuwa hawawezi kujitunza kwa sababu walinyimwa Haki ya kufanya Kazi. Sasa kama Mtu hawezi kujitunza mwenyewe ndio unataka amtunze mtoto au watoto aliowazaa. Atawezea wapi?

Lakini Dunia ya Leo wanawake wamepewa Haki za kufanya Kazi na Fursa zingine ambazo wanazo wanaume.

Hivyo child support pia nao wanatakiwa kuitoa au Yule anayekaa na mtoto ndiye anatakiwa awe na uwezo wa kumlea huyo mtoto.

Tatizo hapa najadili na mtu ambaye Kwanza Akili yake IPO analogy, kizamani.
Wakati Mimi nazungumzia ulimwengu uliopo na ujao (New World Order)

So nafahamu Kabisa hatuwezi kuelewana na nakupa Haki ya kuwaza na kutoa maoni kwa namna Akili yako ilivyoweza KUFIKIRI kwa mfumo wa analogy
 
au unataka kusema wewe ndio una akili sana, kuliko serikali nyingi duniani na wanaume wote wanaohudumia watoto wao wanaoishi na mama zao siyo
Mkuu sasa hilo swali lako, akijibu NDIYO, utaendeleaje?😄😂
 
Sasa ndugu yangu..... baba wa mtoto anajiweza, wewe hapo maisha yamekupiga kaisi kwamba Kukaa na huyo mtoto mjini imekushinda (ndio maana umempeleka mtoto wako kijijini)
Una mtendea haki kweli mwanao kwa kumficha dhidi ya baba yake even though hata English Medium angejichakata akamlipia
Vijijini huko napo maadili mabovu Bora hata huku mjini maana waalimu wanatembea na wanafunzi wao kama hamna kesho, Fanya huo upuuzi mjini mzazi anaweza kukufunga
Tatizo siyo mtoto kuenda english medium bali tatizo ni tabia na maadili ya mtoto, mtoa mada anadai kwamba other things being constant mtoto akilelewa na mama huwa na maadili mabovu ila akilelewa na baba huwa na maadili mema, sasa ndio nakutaka unipe hizo takwimu za watoto kuharibikiwa zaidi wakikulia vijijini kuliko wakikulia mijini
Mfumo wa Sheria unaozungumzia ni ulitungwa Kipindi ambacho hapakuwa na Haki za Wanawake kufanya Kazi.

Kumbuka zamani wanawake hawakuwa WATU ndio maana waliuzwa kwa kiitwacho Mahari, na pia walinyimwa Haki za KIUTU kama kumiliki Mali na kufanya Kazi.

Wanawake hata kujitunza wao wenyewe walikuwa hawawezi kujitunza kwa sababu walinyimwa Haki ya kufanya Kazi. Sasa kama Mtu hawezi kujitunza mwenyewe ndio unataka amtunze mtoto au watoto aliowazaa. Atawezea wapi?

Lakini Dunia ya Leo wanawake wamepewa Haki za kufanya Kazi na Fursa zingine ambazo wanazo wanaume.

Hivyo child support pia nao wanatakiwa kuitoa au Yule anayekaa na mtoto ndiye anatakiwa awe na uwezo wa kumlea huyo mtoto.

Tatizo hapa najadili na mtu ambaye Kwanza Akili yake IPO analogy, kizamani.
Wakati Mimi nazungumzia ulimwengu uliopo na ujao (New World Order)

So nafahamu Kabisa hatuwezi kuelewana na nakupa Haki ya kuwaza na kutoa maoni kwa namna Akili yako ilivyoweza KUFIKIRI kwa mfumo wa analogy
Kijana unaishi dunia gani hebu kuwa serious basi aliyekuambia mimi naongelea kipindi ambacho wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi ni nani, mimi naongelea kipindi hichi hichi ambacho feminism imeshika hatamu dunia nzima niambie ni sheria gani inayomzuia mwanaume kutoa child support eti kisa mwanamke aliyezaa naye anafanya kazi, hebu jaribu kufuatilia nchi kubwa na zilizostaarabika kama za ulaya na marekani dunia ya leo zinaendeshaje kesi kama hizi za mwanaume kutelekeza watoto wake
Mkuu sasa hilo swali lako, akijibu NDIYO, utaendeleaje?😄😂
Mkuu nina wasiwasi na elimu yako ikiwa hujui hata maana ya "rhetorical question", well hiyo maana yake ni swali ambalo linaulizwa ikiwa muuliza swali tayari analo jibu la hilo swali na si kwamba anahitaji jibu la hilo swali toka kwa muulizwa swali, hilo swali nimeuliza nikiwa na jibu kuwa obviously "hawezi kuwa na akili kuliko serikali za nchi nyingi duniani" hivyo angejibu "ndiyo" angezidi kuthibitisha upumbavu wake kwenye masuala haya
 
Tatizo siyo mtoto kuenda english medium bali tatizo ni tabia na maadili ya mtoto, mtoa mada anadai kwamba other things being constant mtoto akilelewa na mama huwa na maadili mabovu ila akilelewa na baba huwa na maadili mema, sasa ndio nakutaka unipe hizo takwimu za watoto kuharibikiwa zaidi wakikulia vijijini kuliko wakikulia mijini

Kijana unaishi dunia gani hebu kuwa serious basi aliyekuambia mimi naongelea kipindi ambacho wanawake hawakuruhusiwa kufanya kazi ni nani, mimi naongelea kipindi hichi hichi ambacho feminism imeshika hatamu dunia nzima niambie ni sheria gani inayomzuia mwanaume kutoa child support eti kisa mwanamke aliyezaa naye anafanya kazi, hebu jaribu kufuatilia nchi kubwa na zilizostaarabika kama za ulaya na marekani dunia ya leo zinaendeshaje kesi kama hizi za mwanaume kutelekeza watoto wake

Mkuu nina wasiwasi na elimu yako ikiwa hujui hata maana ya "rhetorical question", well hiyo maana yake ni swali ambalo linaulizwa ikiwa muuliza swali tayari analo jibu la hilo swali na si kwamba anahitaji jibu la hilo swali toka kwa muulizwa swali, hilo swali nimeuliza nikiwa na jibu kuwa obviously "hawezi kuwa na akili kuliko serikali za nchi nyingi duniani" hivyo angejibu "ndiyo" angezidi kuthibitisha upumbavu wake kwenye masuala haya

Ndio tatizo la elimu ya kukariri(kikasuku) uliyonayo.

Wewe ukiambiwa Sheria ikitungwa nini inazingatiwa najua utabaki kupiga blah blah
 
mtoto akilelewa na mama huwa na maadili mabovu ila akilelewa na baba huwa na maadili mema
Hii hata Mimi naafiki kabisa, mtoto kuharibikiwa akiwa na single father ni ngumu kuliko single mother ; ukiona mwanaume kaweka commitment kwamba watoto wake atawatunza mwenyewe na sio kupeleke kwa Bibi Yao (Mama yake) then hapo usitegemee majanga yoyote ya kipuuzi
 
Wewe ndiye unayejitoa ufahamu wanaume mnakwepa majukumu kwa visingizio vya kijinga sana yani ni kipi kinachofanya mtoto awe na haki ya kuhudumiwa wazazi wakiwa pamoja tu ila wakiachana haki hiyo aikose, ninyi ndio mnafanya watoto wa nje ya ndoa wajione hawana thamani kwenye hii dunia kisa ugomvi wenu wa kijinga huwa mnaona kama wanawake wanafaidi sana hela zenu, ilihali hizo mnazowatumia tu hazitoshi kuhudumia hao watoto nao inabidi waongeze za kwao halafu ninyi mnadhani kwamba wamama hawachangii kabisa kwenye malezi

Kwanza kwa hela gani mnazowapa hao wanawake hadi muone kwamba zinatosha kuhudumia watoto wenu na bado hao wanawake wafanyie matumizi yao, hakuna anayewalazimisha kiasi cha kutoa ninyi toeni kiasi ambacho mnaona hiki kinatosha matumizi ya mtoto wa umri fulani mama atajijua mwenyewe, kama ni ada muambie mama atafute shule ambayo utaweza kumudu akitaka shule yenye gharama zaidi wewe lipa ada unayomudu hiyo ada nyingine ataongezea mama yake mwenyewe

Jukumu la kuhudumia mtoto kiasili ni la baba haijalishi mko kwenye ndoa au la ndio maana hata kisheria baba akifariki kama aliacha watoto wa nje nao hutakiwa kupewa mgawanyo wa mali, sawa na watoto wa ndani ya ndoa bila kujali mama zao wana wanaume wengine au la na wala hawasemi kwamba eti kwa vile walishaachana basi watoto wa nje hawastahili kupata huo mgao, kisa eti mama zao walikuwa na viburi sijui ujeuri kwa hao wababa what a lame excuse from someone calling himself a father

Hebu hudumieni watoto wenu acheni visingizio kuna wanaume ndio chanzo cha wao na mama wa watoto zao kuachana kwa sababu zao binafsi lakini nao wanajificha kwenye kichaka hicho hicho cha kusingizia kuwa wanawake wana ujeuri na kiburi, sasa serikali ikisema iwasikilize wanaume kwenye hili basi kila mwanaume atasema hahudumii sababu mama watoto wake ni mjeuri na kiburi maana ndio sababu kubwa wanayoitoa wanaume wote waliotelekeza watoto wao hata kama ni uongo, mwisho wa siku mnawadhulumu watoto haki zao za msingi hudumieni watoto wenu hakuna aliyewaambia muwahudumie mama zao huo ugomvi wenu hautakiwi kuwahusu watoto

Kuhusu baraka nimekuambia usidhani mimi ndio naanza kujifunza hapa kwenye bandiko lako na wala sihitaji kufanya ulichoniambia ili kuthibitisha hilo, sisi wengine huwa tunajifunza kupitia maisha ya watu wengine hatusubiri mpaka yatukute sisi eti ndio tuamini, ukiachilia mbali hawa tunaowaona ambao wewe hauwafahamu angalia mifano hata ya watu maarufu ambao unawafahamu niambie ni wangapi wenye ugomvi na baba zao halafu angalia hali zao za maisha zikoje

Wewe nina mashaka na uwezo wako wa kupambanua hoja kwani kisheria mtoto anatakiwa kuanza kuishi rasmi na baba yake akiwa na umri gani, jibu ni miaka saba sasa mtoto wa miaka saba hawezi kuchagua kwamba anataka kuishi na baba au mama, narudia mtoto akiwa mdogo kwa asilimia kubwa anahitaji huduma ya mama yake na siyo tu mwanamke yeyote hata kama wewe unamuona mama yake ana tabia za hovyo ila ndio mama yake huwezi kubadili hilo

Na hii exactly ndio point yangu kwamba ukiacha kubeba mimba, kuzaa na kunyonyesha majukumu mengine yote kwa mtoto mzazi yeyote anaweza kuyafanya na ndio maana nikauliza kama mnayaweza kwanini sasa hamyafanyi, maana hata mkiletewa hao watoto bado mtawapa wanawake wengine wawalee huku ninyi mkitafuta pesa ila mwanamke akisema abaki nao mnataka afanye vyote yani awalee na awatafutie pesa sasa hapo nani mbinafsi
Wewe hata huelewi unakaza kichwa tuu, kumuelewesha mtu kama wewe ni kazi sana
 
Ndio tatizo la elimu ya kukariri(kikasuku) uliyonayo.

Wewe ukiambiwa Sheria ikitungwa nini inazingatiwa najua utabaki kupiga blah blah
Wewe usiye na elimu ya kukariri sema sheria ikitungwa inazingatia nini
Hii hata Mimi naafiki kabisa, mtoto kuharibikiwa akiwa na single father ni ngumu kuliko single mother ; ukiona mwanaume kaweka commitment kwamba watoto wake atawatunza mwenyewe na sio kupeleke kwa Bibi Yao (Mama yake) then hapo usitegemee majanga yoyote ya kipuuzi
Hiyo ni kutokana na kanuni na takwimu gani mkuu, kwamba hawa watu waliokuja kuwa wauaji, vibaka, wazinzi, mashoga, matapeli, mafisadi, nk wote wamelelewa na masingle mother, na hawa watu wema wote wamelelewa na kina baba peke yao ama wazazi wote wawili si ndio
Wewe hata huelewi unakaza kichwa tuu, kumuelewesha mtu kama wewe ni kazi sana
What a defensive mechanism, lete hoja kijana, ukiwa na hoja lazima utaeleweka tu
 
Hiyo ni kutokana na kanuni na takwimu gani mkuu, kwamba hawa watu waliokuja kuwa wauaji, vibaka, wazinzi, mashoga, matapeli, mafisadi, nk wote wamelelewa na masingle mother, na hawa watu wema wote wamelelewa na kina baba peke yao ama wazazi wote wawili si ndio
Sina data ila kuna vitu nikiviwaza vina make sense. Single father anaweza kuwa na nafasi nzuri zaidi ya kumlea mtoto kwa mafanikio kuliko single mother. Sio kwamba mchango wa single mother ni mdogo, bali kuna vipengele fulani vinavyoweza kumpa single father faida katika malezi ya mtoto.

1. Uthabiti wa Kiuchumi na Ugawaji wa Rasilimali

Kwa ujumla, single father ana nafasi kubwa zaidi ya kuwa na uthabiti wa kifedha ikilinganishwa na single mother. Hii ni kwa sababu wanaume mara nyingi hupata mishahara mikubwa na kushikilia nafasi za juu zaidi kazini. Hali hii inawapa uwezo wa kutoa elimu bora, huduma za afya, na fursa za maendeleo kwa watoto wao. Kwa upande mwingine, single mother wengi wanakumbwa na changamoto za kifedha, jambo linaloweza kuathiri uthabiti wa maisha ya watoto wao.

2. Nidhamu na Muundo wa Maisha

Single father kwa kawaida huhusishwa na kuweka nidhamu na mipaka thabiti kwa watoto wao. Mtoto anayekuzwa katika mazingira yenye nidhamu na uwajibikaji mara nyingi hukua na tabia za kujituma, kuheshimu mipaka, na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi bora maishani. Ingawa single mother pia anaweza kuweka nidhamu, shinikizo la kijamii mara nyingi linamlazimisha kuwa mlezi wa huruma zaidi, hali ambayo inaweza kupelekea kulegeza masharti na kupunguza uthabiti wa nidhamu kwa watoto.

3. Mdhibiti wa Msongo wa Mawazo na Changamoto za Kijamii

Single mother mara nyingi hukabiliwa na msongo mkubwa wa mawazo kutokana na majukumu mengi anayobeba—kama vile kulea watoto, kufanya kazi, na kutimiza matarajio ya kijamii. Hili linaweza kuathiri ufanisi wake wa kulea watoto. Kwa upande mwingine, single father anaweza kuwa na mtazamo wa kimantiki zaidi wa kushughulikia changamoto, kugawanya majukumu, na kuhakikisha uthabiti wa maisha ya watoto bila kulemewa sana na hisia.

4. Ukaribu wa Kipekee Kati ya Baba na Mtoto

Single father mara nyingi hujihusisha moja kwa moja katika maisha ya watoto wake, kwani jamii haitarajii kwa kawaida wanaume kuwa walezi wa peke yao. Hili huwafanya kuwa makini zaidi na kuongeza uwezekano wa kujenga uhusiano wa karibu na watoto wao. Tafiti zinaonyesha kuwa watoto wanaolelewa na single father aliye makini wanakuwa na hali nzuri ya kisaikolojia na kujitambua zaidi.

5. Mfano Bora wa Kuigwa kwa Jinsia Zote

Watoto wa kiume wanaolelewa na single father mara nyingi hunufaika kwa kuwa na mfano wa moja kwa moja wa jinsi ya kuwa mwanaume mwenye nidhamu na uwajibikaji, jambo linalopunguza tabia hatarishi. Kwa upande mwingine, watoto wa kike wanaolelewa na single father wanaweza kupata msukumo wa kuwa na malengo makubwa maishani kutokana na mtazamo wa baba kuhusu kazi, uhuru, na kujitegemea. Ingawa single mother pia anaweza kuwa mfano mzuri, uwepo wa single father unaweza kuongeza uthabiti katika malezi, hasa katika jamii zinazotilia mkazo mamlaka ya kiume.
 
Hiyo ni kutokana na kanuni na takwimu gani mkuu, kwamba hawa watu waliokuja kuwa wauaji, vibaka, wazinzi, mashoga, matapeli, mafisadi, nk wote wamelelewa na masingle mother, na hawa watu wema wote wamelelewa na kina baba peke yao ama wazazi wote wawili si ndio
Sina data ila kuna vitu nikiviwaza vina make sense. Single father anaweza kuwa na nafasi nzuri zaidi ya kumlea mtoto kwa mafanikio kuliko single mother. Sio kwamba mchango wa single mother ni mdogo, bali kuna vipengele fulani vinavyoweza kumpa single father faida katika malezi ya mtoto.

1. Uthabiti wa Kiuchumi na Ugawaji wa Rasilimali

Kwa ujumla, single father ana nafasi kubwa zaidi ya kuwa na uthabiti wa kifedha ikilinganishwa na single mother. Hii ni kwa sababu wanaume mara nyingi hupata mishahara mikubwa na kushikilia nafasi za juu zaidi kazini. Hali hii inawapa uwezo wa kutoa elimu bora, huduma za afya, na fursa za maendeleo kwa watoto wao. Kwa upande mwingine, single mother wengi wanakumbwa na changamoto za kifedha, jambo linaloweza kuathiri uthabiti wa maisha ya watoto wao.

2. Nidhamu na Muundo wa Maisha

Single father kwa kawaida huhusishwa na kuweka nidhamu na mipaka thabiti kwa watoto wao. Mtoto anayekuzwa katika mazingira yenye nidhamu na uwajibikaji mara nyingi hukua na tabia za kujituma, kuheshimu mipaka, na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi bora maishani. Ingawa single mother pia anaweza kuweka nidhamu, shinikizo la kijamii mara nyingi linamlazimisha kuwa mlezi wa huruma zaidi, hali ambayo inaweza kupelekea kulegeza masharti na kupunguza uthabiti wa nidhamu kwa watoto.

3. Mdhibiti wa Msongo wa Mawazo na Changamoto za Kijamii

Single mother mara nyingi hukabiliwa na msongo mkubwa wa mawazo kutokana na majukumu mengi anayobeba—kama vile kulea watoto, kufanya kazi, na kutimiza matarajio ya kijamii. Hili linaweza kuathiri ufanisi wake wa kulea watoto. Kwa upande mwingine, single father anaweza kuwa na mtazamo wa kimantiki zaidi wa kushughulikia changamoto, kugawanya majukumu, na kuhakikisha uthabiti wa maisha ya watoto bila kulemewa sana na hisia.

4. Ukaribu wa Kipekee Kati ya Baba na Mtoto

Single father mara nyingi hujihusisha moja kwa moja katika maisha ya watoto wake, kwani jamii haitarajii kwa kawaida wanaume kuwa walezi wa peke yao. Hili huwafanya kuwa makini zaidi na kuongeza uwezekano wa kujenga uhusiano wa karibu na watoto wao. Tafiti zinaonyesha kuwa watoto wanaolelewa na single father aliye makini wanakuwa na hali nzuri ya kisaikolojia na kujitambua zaidi.

5. Mfano Bora wa Kuigwa kwa Jinsia Zote

Watoto wa kiume wanaolelewa na single father mara nyingi hunufaika kwa kuwa na mfano wa moja kwa moja wa jinsi ya kuwa mwanaume mwenye nidhamu na uwajibikaji, jambo linalopunguza tabia hatarishi. Kwa upande mwingine, watoto wa kike wanaolelewa na single father wanaweza kupata msukumo wa kuwa na malengo makubwa maishani kutokana na mtazamo wa baba kuhusu kazi, uhuru, na kujitegemea. Ingawa single mother pia anaweza kuwa mfano mzuri, uwepo wa single father unaweza kuongeza uthabiti katika malezi, hasa katika jamii zinazotilia mkazo mamlaka ya kiume.
 
Ndio tatizo la elimu ya kukariri(kikasuku) uliyonayo.

Wewe ukiambiwa Sheria ikitungwa nini inazingatiwa najua utabaki kupiga blah blah
Huyo mama wakujiita Jadda asichokijua ni kwamba dunia ya sasa inapiga vita mfumo dume ila haitaki kuuacha mfumo dume kwenye angle ambayo mwanamke ni mnufaika kwa mfumo dume.

Hiyo sheria ya child support imetungwa kwa kupita mule mule kwenye advantages za mfumo dume kwa mwanamke, kwamba a mother is a care taker while a father is a provider provided that a father is sole breedwinner.

Waliotunga hiyo shule ya child support walimuangalia mwanamke kwa twasira ya kizamani kwamba hana kipato(enzi za mfumo dume), kwa makusudi wakalazilimisha kuipitisha itumike kipindi hiki ambacho wanawake nao na wana access za nyanja zote za kujiingizia pesa sawa na mwanaume.

Imagine leo hii eti Kim kardashian licha ya utajiri mkubwa alionao lakini bado anapokea $200k kila mwezi kutoka kwa Kanye west kama child support si wizi huo? Kisa tu eti yeye ndio anayekaa na watoto... hapo tukisema watoto wamekuwa mutaji ya wanawake kudangia kutoka kwa waume zao wa zamani tunakosea?

Na sio hiyo tu, hata sheria ya mgao wa mali na mambo ya divorce settlement zimetungwa kwa kufuata taswira ya mwanamke wa zamani ambaye alikuwa ni tegemezi na hazijazangatia kabisa misingi ya maisha ya kisasa.
 
Sina data ila kuna vitu nikiviwaza vina make sense. Single father anaweza kuwa na nafasi nzuri zaidi ya kumlea mtoto kwa mafanikio kuliko single mother. Sio kwamba mchango wa single mother ni mdogo, bali kuna vipengele fulani vinavyoweza kumpa single father faida katika malezi ya mtoto.

1. Uthabiti wa Kiuchumi na Ugawaji wa Rasilimali

Kwa ujumla, single father ana nafasi kubwa zaidi ya kuwa na uthabiti wa kifedha ikilinganishwa na single mother. Hii ni kwa sababu wanaume mara nyingi hupata mishahara mikubwa na kushikilia nafasi za juu zaidi kazini. Hali hii inawapa uwezo wa kutoa elimu bora, huduma za afya, na fursa za maendeleo kwa watoto wao. Kwa upande mwingine, single mother wengi wanakumbwa na changamoto za kifedha, jambo linaloweza kuathiri uthabiti wa maisha ya watoto wao.

2. Nidhamu na Muundo wa Maisha

Single father kwa kawaida huhusishwa na kuweka nidhamu na mipaka thabiti kwa watoto wao. Mtoto anayekuzwa katika mazingira yenye nidhamu na uwajibikaji mara nyingi hukua na tabia za kujituma, kuheshimu mipaka, na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi bora maishani. Ingawa single mother pia anaweza kuweka nidhamu, shinikizo la kijamii mara nyingi linamlazimisha kuwa mlezi wa huruma zaidi, hali ambayo inaweza kupelekea kulegeza masharti na kupunguza uthabiti wa nidhamu kwa watoto.

3. Mdhibiti wa Msongo wa Mawazo na Changamoto za Kijamii

Single mother mara nyingi hukabiliwa na msongo mkubwa wa mawazo kutokana na majukumu mengi anayobeba—kama vile kulea watoto, kufanya kazi, na kutimiza matarajio ya kijamii. Hili linaweza kuathiri ufanisi wake wa kulea watoto. Kwa upande mwingine, single father anaweza kuwa na mtazamo wa kimantiki zaidi wa kushughulikia changamoto, kugawanya majukumu, na kuhakikisha uthabiti wa maisha ya watoto bila kulemewa sana na hisia.

4. Ukaribu wa Kipekee Kati ya Baba na Mtoto

Single father mara nyingi hujihusisha moja kwa moja katika maisha ya watoto wake, kwani jamii haitarajii kwa kawaida wanaume kuwa walezi wa peke yao. Hili huwafanya kuwa makini zaidi na kuongeza uwezekano wa kujenga uhusiano wa karibu na watoto wao. Tafiti zinaonyesha kuwa watoto wanaolelewa na single father aliye makini wanakuwa na hali nzuri ya kisaikolojia na kujitambua zaidi.

5. Mfano Bora wa Kuigwa kwa Jinsia Zote

Watoto wa kiume wanaolelewa na single father mara nyingi hunufaika kwa kuwa na mfano wa moja kwa moja wa jinsi ya kuwa mwanaume mwenye nidhamu na uwajibikaji, jambo linalopunguza tabia hatarishi. Kwa upande mwingine, watoto wa kike wanaolelewa na single father wanaweza kupata msukumo wa kuwa na malengo makubwa maishani kutokana na mtazamo wa baba kuhusu kazi, uhuru, na kujitegemea. Ingawa single mother pia anaweza kuwa mfano mzuri, uwepo wa single father unaweza kuongeza uthabiti katika malezi, hasa katika jamii zinazotilia mkazo mamlaka ya kiume.
Kuna report inasema kwamba angalau 70% ya wafungwa weusi waliopo kwenye jela za marekani wamelelewa na masingle mothers.

Hii tu peke yake inatosha kutupa jibu kuhusu single motherhood vs single fatherhood kuwa ni parenthood gani iliyobora...
 
Kuna report inasema kwamba angalau 70% ya wafungwa weusi waliopo kwenye jela za marekani wamelelewa na masingle mothers.

Hii tu peke yake inatosha kutupa jibu kuhusu single motherhood vs single fatherhood kuwa ni parenthood gani iliyobora...
Ni viscous circle after viscous circle, unakuta mtoto wa kike kalishwa sumu dhidi ya baba yake ambaye hayupo na akija kupata mwanaume wake naye anaanza mtreat kutegemeana na jinsi Mama yake anavyoongea

Mtoto wa kiume naye unakuta analishwa sumu dhidi ya baba yake ambaye hayupo , anakuja kupata mwanamke (aliyelelewa na single maza hapo juu) anatambua kwamba Baba alikimbia kwasababu 😂
 
Mtoto yupo salama kuishi na mama yake kama ana akili timamu vizuri kuliko akaishi na mama wa kambo
 
wajibu wa baba kwa mtoto uko katika kushiriki kumleta huyo mtoto duniani na siyo kuishi naye tu, ndio maana sheria zinatambua hata mtoto wa nje ya ndoa ana haki ya kupata mgawanyo wa mali pale baba anapofariki bila kujali alikuwa anaishi naye au la
Mkuu kama kuna mabadiliko kwenye hili ambayo siyafahamu ningefurahi ungeyaonesha kwa reference, Maana kwa nijuavyo maktaba za sheria zinaonesha kuwa msimamo wa sheria Tanzania unasisitiza kuwa mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kurithi mali za mzazi wake, yeye mambo yake yanaishia pale baba yake anapofariki dunia na sio vinginevyo. Msimamo huo uliwekwa na Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Majaji Watatu) kwenye kesi ya VIOLET ISHENGOMA KAHANGWA AND JOVIN MUTABUZI v THE ADMINISTRATOR GENERAL AND MRS. EUDOKIA KAHANGWA 1990 TLR 72 (CA) iliamua kuwa wajibu wa baba kwa mtoto wa nje unaishia pale baba huyo anapofariki dunia na haki ya kurithi haimwezi kumfuata huyo mtoto wa nje. Nimenuku sehemu ya hukumu hiyo

In the English case of In re Harrington [1908] Ch.687 which we find to be persuasive, it was held that a putative father's obligation under a bastardy or affiliation order ends with his death, that such obligation is personal and the arrears under such an order are not recoverable against his estate. So that even if the word "children" in section 129 (1) of the Law of Marriage Act were to be enlarged to include illegitimate children and hence to say that the deceased in the instant case had a duty under the law to maintain his two illegitimate children then on the strength of Harrington's case such duty or obligation being only personal, would not service him; it would have ended with his death.
 
Back
Top Bottom