Inategemea Mama Jully alikuwa amekaa na nani muda huo uskute alkuwa na Shangazi wa Jully?
Nakwede!!!Mama wa "mwendokasi"
Watu wa Dar bwana!!!
Nakwede!!!
Huwezi jua alikuwa anamsema kwa nani,tatizo ni kwamba mtoa mada hana masikio bali ana satelaiti zenye uwezo wa hali ya juu.Mimi siwezi kumsema mama yangu au ndugu yangu wa tumbo moja kwa mtu wa nje ya familia yetu achilia mbali kwenye daladala kwa hiyo hicho naona kama ni kitendo cha ajabu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusalimu,beeeeeeeeeeeeeeeeee
Mpare,Nakusalimu,
Wewe mtu wa wapi eti?
Yeah.. Unamaliza mwaka kwenye mahusiano na dem ambaye hajawahi kukununulia hata Pepsi ya Tsh 500? Un acceptable.
1. Hajui kupika!?Kama Unaitwa Julieth unamiaka 25 Unakaa Kimara... Mama Yako Anakusema Kwenye Daladala Eti Uko mvivu Sana, Hujui Kupika, Unapenda Pesa, Starehe Na Hata Ukiolewa Huwezi Kudumu Kwenye Ndoa. Mama Yako Anaongea Kwa Uchungu Sana, Tafadhali Badilisha Tabia Julieth
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina allergy na madem wachoyo na wapenda pesa.. Huyu anipite mbali.
Mleta mada kama wewe ni "me" basi wewe ni wa kiume, tafuta kazi saloon ufanye kazi za kusugua migongo ya wanaume.Kama Unaitwa Julieth unamiaka 25 Unakaa Kimara... Mama Yako Anakusema Kwenye Daladala Eti Uko mvivu Sana, Hujui Kupika, Unapenda Pesa, Starehe Na Hata Ukiolewa Huwezi Kudumu Kwenye Ndoa. Mama Yako Anaongea Kwa Uchungu Sana, Tafadhali Badilisha Tabia Julieth
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kwa asilimia kubwa, kwani kama ni mama mzazi yeye ndie mwalimu wake na hvyo anajitangaza kuwa sio mwalimu mzuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umbea wa wanaume wa DarKama Unaitwa Julieth unamiaka 25 Unakaa Kimara... Mama Yako Anakusema Kwenye Daladala Eti Uko mvivu Sana, Hujui Kupika, Unapenda Pesa, Starehe Na Hata Ukiolewa Huwezi Kudumu Kwenye Ndoa. Mama Yako Anaongea Kwa Uchungu Sana, Tafadhali Badilisha Tabia Julieth
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliNi kweli kwa asilimia kubwa, kwani kama ni mama mzazi yeye ndie mwalimu wake na hvyo anajitangaza kuwa sio mwalimu mzuri.
Labda tumuulize mtoa mada, huyo mama umesikia maongezi bahati mbaya au alikuwa anawasimulia watu wa kwenye daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,asilimia kubwa ya watanzania ni watu ambao hawajastaarabika kabisa. Kuzungumza mambo ya kifamilia kwenye watu wasio ndani ya familia yenu ni jambo la hovyo na linaloweza kufanywa na watu wasio wastaarabu. Sio tu kwa mambo mabaya ila kuzungumzia mambo yanayohusu familia kwanye daladala ni jambo la hovyo mno. |
Ilikuwa mada kwenye daladala mama katoa ya moyoni [emoji16]Labda tumuulize mtoa mada, huyo mama umesikia maongezi bahati mbaya au alikuwa anawasimulia watu wa kwenye daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app