Julio: Bingwa wa ligi kuu ya NBC bado hajapatikana

Julio: Bingwa wa ligi kuu ya NBC bado hajapatikana

Aliwahi kuishusha daraja Mwadui FC..........naamini akiendelea kuwepo pale Namungo basi kile kikombe cha kushuka daraja kinawahusu kabisa

Waziri Mkuu Majaliwa atoe hicho kirusi haraka sana kwenye timu yake
Kuweka rekodi sawa, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Julio hakuwepo wakati Mwadui inashuka daraja
 
Hawa ndiyo makocha wetu tunaotaka wakafundishe nje ya Tz..........mtu anaropoka ropoka tu kama zuzu.......
Kwa kweli tunajidanganya....sasa anashindwa kuongelea timu yake anaongelea mambo ya yanga...namungo uongozi wao haujielewi kabisa.
Hawa niliona ni wa hovyo pale walipomsajili molinga🤣🤣🤣🤣 chezaji tipwa tipwa kama doli la michelin man
 
Anadhani hapa ulaya ..huku ni kwa manayani🤣🤣🤣🤣
Yaaani siasa iingilie mpira...... Au hamjui kilichoipata Kenya,adhabu yake baada ya wanasiasa kuingilia shirikisho la mpira
 
Tofautisha ligi kuvunjwa na kusimamishwa coz ikisimamishwa it means itaendelea na kama ikisimamishwa lazima kuwe na sababu za msingi na pia mtambue athari za Mpira kuingiliwa na siasa
African stupidity knows no boundaries kaka.
Wewe fikiria tuu ligi za wenzetu zina timu inshirini wameliza toka may sie wenye timu chache bado tunaendelea na kila leo tunalia vilabu vyetu vina ukata.
 
African stupidity knows no boundaries kaka.
Wewe fikiria tuu ligi za wenzetu zina timu inshirini wameliza toka may sie wenye timu chache bado tunaendelea na kila leo tunalia vilabu vyetu vina ukata.
Huo ni mfumo wa uendeshaji wa ligi na nikutokana na miundombinu mibovu kama nchi tulinayo,let's say EPL wanacheza kucheza Wednesday na Saturday kwasababu ya miundombinu bora ya usafiri waliyonayo na inarahisisha timu kufika kwa wakati bila uchovu kupitia hili ligi yao inaweza kuisha kwa haraka ila Tanzania hii Coastal hawezi kucheza alhamis halafu jumapili awepo tena uwanjani.....ni ngumu sana

Ila serikali haiwezi kuingilia mamlaka ya shirikisho la mpira nchini na ikifanyika hivyo yatatupata yaliompata jirani yetu
 
Huo ni mfumo wa uendeshaji wa ligi na nikutokana na miundombinu mibovu kama nchi tulinayo,let's say EPL wanacheza kucheza Wednesday na Saturday kwasababu ya miundombinu bora ya usafiri waliyonayo na inarahisisha timu kufika kwa wakati bila uchovu kupitia hili ligi yao inaweza kuisha kwa haraka ila Tanzania hii Coastal hawezi kucheza alhamis halafu jumapili awepo tena uwanjani.....ni ngumu sana

Ila serikali haiwezi kuingilia mamlaka ya shirikisho la mpira nchini na ikifanyika hivyo yatatupata yaliompata jirani yetu
Ligi inasimama kupisha mashindano ya kisiasa ya Mapinduzi Cup?? Ligi inasimama kupisha timu fulani ishiriki michuano ya kimataifa??😂😂
 
Ligi inasimama kupisha mashindano ya kisiasa ya Mapinduzi Cup?? Ligi inasimama kupisha timu fulani ishiriki michuano ya kimataifa??😂😂
Ligi inasimama kwasababu kupisha matukio mengine ya kimpira na yaliyopo kwenye kalenda ya soka na kwa utaratibu maaalamu ,halafu inaendelea tena.......hizo ndio sababu za ligi kusimama kwa muda
 
Mkuu nenda kaweke data zako vzr.......shirikisho la mpira linakuwa funded by FIFA na sio Government...... Ile ni free organization kule FIFA kuna watu wanaakili kuliko ww na ndio maana wakapigwa Ban

Kesi za Mpira huamuliwa na mahakama za kimpira,That's it
Wewe wacha zako mbona ukitaka kuhost world cup kuna sehemu lazima serikali isign ilikuhalalisha bid yako? Fedha wanazotoa fifa to memeber nations sio sufficient kuendesha soccer. Kuna sehemu lazima serikali iweke hela.
Ni kweli wao fifa wameweka kuwa serikali haitakiwi kuingilia haya mambo ya mpira lakini that dont mean its right. Kilichotokea kenya ni kwamba serikali ilitoa hela kwenda fkf sasa inaonekana nick mwenda alikwapua hizo hela sasa watu wanataka maelezo ya hela yao is that wrong? Mambo mengine ata kama sawa yamewekwa but sio sahihi.
 
Wewe wacha zako mbona ukitaka kuhost world cup kuna sehemu lazima serikali isign ilikuhalalisha bid yako? Fedha wanazotoa fifa to memeber nations sio sufficient kuendesha soccer. Kuna sehemu lazima serikali iweke hela.
Ni kweli wao fifa wameweka kuwa serikali haitakiwi kuingilia haya mambo ya mpira lakini that dont mean its right. Kilichotokea kenya ni kwamba serikali ilitoa hela kwenda fkf sasa inaonekana nick mwenda alikwapua hizo hela sasa watu wanataka maelezo ya hela yao is that wrong? Mambo mengine ata kama sawa yamewekwa but sio sahihi.
Rudi kwenye source yako upya.....Nick Mwenda alipokea pesa kutoka FIFA ila akazitumia kwenye mambo yake binafsi

Wananchi wakaja juu kutaka kushinikiza maelezo ya hizo pesa zilipokwenda na serikali kutaka kuwasaidia wananchi wakaingia kwenye mtego

Shirikisho la mpira lina source zake za mapato la funds kutoka kwenye mamlaka za juu yake za soka na sio serikali

Rudi kwenye vitabu vyako

Mashindano yote yaliyochini ya FIFA na washirika wake wa chini wanapata fund kutoka kwao ili waweze kurun cost za kuhost match na kusafiri kwa timu ya Taifa pamoja na kulipa mishahara ya waajiriwa Wa shirikisho......hakuna bajeti ya serikali eti hii pesa inapelekwa TFF
 
Rudi kwenye source yako upya.....Nick Mwenda alipokea pesa kutoka FIFA ila akazitumia kwenye mambo yake binafsi

Wananchi wakaja juu kutaka kushinikiza maelezo ya hizo pesa zilipokwenda na serikali kutaka kuwasaidia wananchi wakaingia kwenye mtego

Shirikisho la mpira lina source zake za mapato la funds kutoka kwenye mamlaka za juu yake za soka na sio serikali

Rudi kwenye vitabu vyako

Mashindano yote yaliyochini ya FIFA na washirika wake wa chini wanapata fund kutoka kwao ili waweze kurun cost za kuhost match na kusafiri kwa timu ya Taifa pamoja na kulipa mishahara ya waajiriwa Wa shirikisho......hakuna bajeti ya serikali eti hii pesa inapelekwa TFF
Hapana sio kweli. Serikali inakuwa na mchango wake. Wee hela ya fifa haiwezi kukufanya weww ukahist kombe la dunia. Kujenga miundombino sii hela ya serikali. Wee kwa mfano hii afcon tunayotaka kubidi unadhani viwanja na hizo training facilities ndio zitagolewa na hao fifa?

Tukija kwenye champions legu huku africa one of the differences ikija kwenye vilabu ni kwamba vilabu vya north africa wizara ya michezo ndio zina facilitate mambo ya malazi na ata kusafiri maana wanawakilisha nchi.

Yaani unataka kuniambia leo hii wizara ya michezo tz waseme kuwa timu zote zinazocheza caf champions league wizara itagharamikia usafiri na hotels alafu vilabu vikule hiyi hela wizara itakuwa haitakiwi kuhoji kisa tuu fifa wannasema kuwa no government interference
 
Back
Top Bottom