Julio: Bingwa wa ligi kuu ya NBC bado hajapatikana

Unapozungumzia world cup,Afcon,UEFA finals hapo maana yake mashindano yakifanyika kwako,serikali itaingiza mapato pia kupitia watu watakaoingia nchini kwako,hapo ndio serikali huwa inashirikishwa kujenga miundombinu ili kufanikisha zoezi hilo kwa faida yao binafsi

Sometimes serikali inaweza kutop up kwa timu ya Taifaa kiasi chao cha pesa ila hawana haki ya kuiwaingilia katika matumizi yao isipokuwa Fifa wenyewe ila hakuna bajeti kutoka huko wizarani wala bungeni kwa ajili ya shirikisho la mpira
 
Ok. Sawa.
 
Kama kweli limesema hayo basi Ile story wanayosemaga linara Duria marinda itakuwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…