KERO Julius Nyerere International Airport (JNIA) kukosa air condition ni aibu kubwa kwa nchi hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ukichilia mbali ukosefu wa AC, mvua zikinyesha pale termina 2 huwa panavuja sana.
 
Kutokuwa na air condition uwanja huo haujaanza leo yaani kila kitu ni hovyo tu
1995 nilishuka hapo kulikuwa na joto balaa na a/c hakuna kabisa ingawa unaona makasha tu tena mapya
Lakini nchi za kiafrika ndio tulivyo uhujumu mwingi kila sekta
Nenda Nigeria unapishana na mende na panya airport na hawajali mnasalimiana tu
 
Nipe majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDA ili tufuatilie
majina yake matatu yanahusiana nini na kufuatilia uzembe na ukiazi unaoendelea airport pale..... au unajifariji ki ndezi hapo sebule i mwa shemeji yako?
 
majina yake matatu yanahusiana nini na kufuatilia uzembe na ukiazi unaoendelea airport pale..... au unajifariji ki ndezi hapo sebule i mwa shemeji yako?
TANESCO wanachezea KOKI mwi mwa mara wamezima mara wamewasha mara wamezima wamewasha wamezima tena wamewasha, sasa najiuliza jamaa anasikia raha au kitu gani?
 
Ulipita terminal ipi ndugu? Mie nimepita terminal 2 mwezi huu naona zilikuwa zinafanya kazi kama kawaida. Hata wakati naondoka zilikuwa zinaofanya kazi kama kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…