Jullie Dolls

mtoto wa didas masaburi pesa ipo ila ndo kimeo tuu

m mwenyewe nashangaa angekuwa wa kishua angekomaa na hzo pesa za rummy jones jaman mana yule mwanaume kawazalisha hatare yan wanajua kbsah wamepangwa ila wapo tu..kha kweli pesa mwanaharamu
 
Mhh sijui mwanae atapewa garii kama yule wa neyoncee!!hiihiii mjini mipango
 
Mhh sijui mwanae atapewa garii kama yule wa neyoncee!!hiihiii mjini mipango

Ndio lile lenye plate # iliyoandikwa kauthar?kuna siku nimepishana nalo migo mara kibao...
 
Huyo Jullie nasikia anaringa kama vile hanti!!kanunuiwa na gari nasikia...hata iyo mimba alitambika mpaka mizimu ya babu zake,nasikia ni special mahsus kula sahani moja na wake wenzake ambao wote wamezalishwa na rummy show muuza sembe...

Anaringa sana, sijui ndo hizo pesa maana tukisema uzur hapan kwa kwel
 
m mwenyewe nashangaa angekuwa wa kishua angekomaa na hzo pesa za rummy jones jaman mana yule mwanaume kawazalisha hatare yan wanajua kbsah wamepangwa ila wapo tu..kha kweli pesa mwanaharamu

Binamu unatuchanganyia madesa, unamchanganya rommy jones wa domo na rummy andunje kama ana matege ivi, hao ni watu wawil tofaut, huyo rommy angekuwa na izo pesa tungekoma binamu
 
Binamu unatuchanganyia madesa, unamchanganya rommy jones wa domo na rummy andunje kama ana matege ivi, hao ni watu wawil tofaut, huyo rommy angekuwa na izo pesa tungekoma binamu

anha...kumbe ndo hvo binam...basi sawa bina
 
Bora na wewe unakumbuka....eti ooh mbaya kama nini,mimacho mikubwa,mweusi mfupi hizo camera 360 tu...
Leo kawa malkia!!!

Eeh mwenzenu nshasahau hvyo, yan umbea huu binami, hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…