Juma Aweso: Wanaosema No Reform No Election Waelewe kwamba Mkubwa Hatishiwi Nyau.

Juma Aweso: Wanaosema No Reform No Election Waelewe kwamba Mkubwa Hatishiwi Nyau.

Kama ndivyo utekaji unawafaa nn?? Hofu ya Katiba Mpya ya nn?? Tunaendelea kusema " NO REFORM NO ELECTION "
Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
 
Yule bi mdogo wa jamaa, nilimfaidi sana, na anaendelea kunijali.
Kumuacha ni ndoto.
Ninaomba jamaa apewevcheo kila wakati,ili akose muda naye
 
Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.

Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No ElectionAjo Aji

Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.

Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No Election
Maji unapata au hupati?
 
Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Kama hakuna mtanzania anakula katiba mpya . Tuseme ya zamani ina liwa?
Hao chadema siyo watanzania?
Haya ni maneno ya mtu aliyekwenda shule kweli au mwizi wa mitihani anayekata mauno hapo lumumba? Kama unafikiri katiba haina maana huyo samia aliingiaje ikulu?
 
Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
NO REFORM NO ELECTION. Na nguvu kubwa wala haitatoka Chadema. Huko huko ndani ya CCM. Kutakuwa na nguvu "direct na indirect " Ni suala la muda tu.

Mmechagua kutumia bunduki kuwanyamazisha Wapinzani. Mlichosahau ni kwamba hao hao mnaowateka na kuwapoteza wana ndugu zao wa damu ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom