JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Ila kuna waTz wanakula "mitano tena" na "mama anaupiga mwingi" ukiwemo wewe hapo.Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna waTz wanakula "mitano tena" na "mama anaupiga mwingi" ukiwemo wewe hapo.Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Anakuambia "katiba ni kijitabu tu" huku akisahau kama watu wasingeiheshimu, haya yeye asingekuwa hapo Ikulu. Inawezekana tatizo ni shule.Kama hakuna mtanzania anakula katiba mpya . Tuseme ya zamani ina liwa?
Hao chadema siyo watanzania?
Haya ni maneno ya mtu aliyekwenda shule kweli au mwizi wa mitihani anayekata mauno hapo lumumba? Kama unafikiri katiba haina maana huyo samia aliingiaje ikulu?
Eti hao polisi wapo kwenye "mazoezi ya vita". Vita na waTanzania?Ni mjinga tu anayefikiri kuwa mapolisi laki moja wanaweza kuzuia Watanzania milioni 60.
Sawa ni uhalifu, ila unapotekelezwa kwa misingi ya kisiasa unakuwa zaidi ya uhalifuHakuna anaeiba kura.Utekaji ni uhalifi inafanyika Dunia nzima.
Hakuna Mtanzania anaweza kuligawa 🇹🇿 labda Chadomo na ndio maana mnapuuzwa.
Viongozi wetu wamelewa madaraka ndio maana wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo yanayohitaji kutumia akili.Eti hao polisi wapo kwenye "mazoezi ya vita". Vita na waTanzania?
Na wanazipiga kweli kwa kushirikiana na baadhi ya wakurugenzi wa Mamlaka za maji hasa wa miji mikubwaMwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.
Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No Election
Kweli shule ni tatizo. Kama katiba ni kijitabu saaa kwakuwa kimeandikwa binaadam wakiwepo na hakina maana kwa duru za wana ccm! Je vitabu vya DINI Tuviiteje? Mbona kila siku viongozi wala rushwa hapo lumumba wanaapa kuilinda katiba/ kajikitabu kwa kutumia vitabu vya dini?Anakuambia "katiba ni kijitabu tu" huku akisahau kama watu wasingeiheshimu, haya yeye asingekuwa hapo Ikulu. Inawezekana tatizo ni shule.
Wapo wengi tu huko, na ingerahisisha kazi kama wangepata ujasiri huo. Tatizo kubwa wengi wa hawa ni 'opportunists' tu, watu wasiokuwa na 'conviction' juu ya jambo lolote, kama akina Kabuti Kalamaganda na wengi wengineo ndani ya chama hicho.NO REFORM NO ELECTION. Na nguvu kubwa wala haitatoka Chadema. Huko huko ndani ya CCM. Kutakuwa na nguvu "direct na indirect " Ni suala la muda tu.
My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia 👇👇
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
MKUBWA HATISHIWI NYAU KWISHAAA NO COMETKama ndivyo utekaji unawafaa nn?? Hofu ya Katiba Mpya ya nn?? Tunaendelea kusema " NO REFORM NO ELECTION "
Nadhani point yangu imeeleweka rehea kwenye HOJA.Inamaana Hao mapolisi laki moja ni nje ya watanzania million 60?naunga mkono hoja
Hao sasa ndio wanaoendesha zoezi hilo la No Reform No Election indirect.Wapo wengi tu huko, na ingerahisisha kazi kama wangepata ujasiri huo. Tatizo kubwa wengi wa hawa ni 'opportunists' tu, watu wasiokuwa na 'conviction' juu ya jambo lolote, kama akina Kabuti Kalamaganda na wengi wengineo ndani ya chama hicho.
My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia 👇👇
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia 👇👇
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
Watakula wapi bila ya CCM mkuu 'Halaiser'!Hao sasa ndio wanaoendesha zoezi hilo la No Reform No Election indirect.
Aibu naiona mimi,fedha ya wazazi kukupeleka shule ilikufa bure kabisaaaa.Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Watu wanaishi jirani na lile jengo kubwa ubungo limeandikwa maji-house lakini hawana maji.Wapi kuliko wewe hakuna maji?
Huu sio wa kichochezi ila gazeti lililonukuu taarifa ya Aweso akiwa huko Nzega ndio limefuta hiyo videoNYUZI ZA KICHOCHEZI HAZIFUTWI.
KUNA JAMAA KAWEKA THREAD YAKE KUJADILI KAULI YA WAZIRI MKUU YA GRADUATE WAENDE VETA
UZI UMEFUTWA