Juma Aweso: Wanaosema No Reform No Election Waelewe kwamba Mkubwa Hatishiwi Nyau.

Juma Aweso: Wanaosema No Reform No Election Waelewe kwamba Mkubwa Hatishiwi Nyau.

Aendelee kuchezeshwa Ngoma
1741175203104.jpg
 
Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Ni kweli ,watanzania hawatakula katiba, ila wanataka kura ziibwe, utekaji wa mara kwa mara, mahakama kivuli, muungano wa kijinga wa tanganyika na zanzibar

Hayo ndo tunataka sisi watanzania, tukiendelea hivyo hivyo ,tutazidisha mapambio ya kumsifu mama
 
Ni kweli ,watanzania hawatakula katiba, ila wanataka kura ziibwe, utekaji wa mara kwa mara, mahakama kivuli, muungano wa kijinga wa tanganyika na zanzibar

Hayo ndo tunataka sisi watanzania, tukiendelea hivyo hivyo ,tutazidisha mapambio ya kumsifu mama
Hakuna anaeiba kura.Utekaji ni uhalifi inafanyika Dunia nzima.

Hakuna Mtanzania anaweza kuligawa 🇹🇿 labda Chadomo na ndio maana mnapuuzwa.
 
Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.

Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No Election
Ni MWIZI MKUBWA kweli kweli huyu mchawi mdigo wa pangani
 
Mtu mzima asiyetishiwa nyau ni hao wananchi wenye nchi yao wanaolipa Kodi zao Ili ninyi mpate kiburi cha kuwajibu jeuri! Itafikia mahali watawachoka tu!!
Wananchi wenyewe ndio hao Machadema au?
 
Back
Top Bottom