ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba MpyaKama ndivyo utekaji unawafaa nn?? Hofu ya Katiba Mpya ya nn?? Tunaendelea kusema " NO REFORM NO ELECTION "
Ndio maana wewe umeshindwaHivi mtu kama Awezo ana ukubwa gani? Kwake yeye kuoa wake wanne ndio ukubwa huo?
HaituhusuHuko DRC Tshisekedi amekubali kuongea na Waasi.
Umeandika kijinga sana!Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Ni mjinga tu anayefikiri kuwa mapolisi laki moja wanaweza kuzuia Watanzania milioni 60.Haituhusu
Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia ππ
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.
Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No ElectionAjo Aji
Maji unapata au hupati?Mwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.
Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No Election
Sipati. Hakuna MajiMaji unapata au hupati?
Kama hakuna mtanzania anakula katiba mpya . Tuseme ya zamani ina liwa?Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Watu wa wapi hao? Kule ambako Bado hawajapata Kuna mradi eg Songea ππWatu wanataabika hawana maji..wacha mikoani hata jiji kama Dar ..Waziri badala ya ku focus anapiga porojo tu......
JPM was a real deal!
R.I.P mzilankende
Wapi kuliko wewe hakuna maji?Sipati. Hakuna Maji
Hapo Tanzania, Dar naishi Ukonga. Tunatumia maji ya visima.Wapi kuliko wewe hakuna maji?
NO REFORM NO ELECTION. Na nguvu kubwa wala haitatoka Chadema. Huko huko ndani ya CCM. Kutakuwa na nguvu "direct na indirect " Ni suala la muda tu.Kinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Kwa Akili za namna hii ndiyo maana mnashauriwa mkimaliza hizo degree zenu nendeni VETA mkajifunze kushona vitambaaKinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya