RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Majengo mengi ni majumba ya wakoroni ambayo mwl nyerere aliwanyanganya wahindi na kuwapa NHCWatu wa wapi hao? Kule ambako Bado hawajapata Kuna mradi eg Songea ๐๐
View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1900100579462095080?t=b0x1_crmc2PADKDlePwDWQ&s=19
Faida ya Katiba Mpya ni ipi?Kwa Akili za namna hii ndiyo maana mnashauriwa mkimaliza hizo degree zenu nendeni VETA mkajifunze kushona vitambaa
Sijaweka video uone majengo Bali mradi wa Maji.Majengo mengi ni majumba ya wakoroni ambayo mwl nyerere aliwanyanganya wahindi na kuwapa NHC
Akikaa kimya nani atawapasha?Ni bora angekaa kimya, zumbukuku mweusi
Kamanajua why hamfanyi vurugu na unyakuzi?Ni mjinga tu anayefikiri kuwa mapolisi laki moja wanaweza kuzuia Watanzania milioni 60.
AWESU NI MWIZI MKUBWA ASIYE NA MAANAHivi mtu kama Aweso ana ukubwa gani? Kwake yeye kuoa wake wanne ndio ukubwa huo?
Ni kweli ,watanzania hawatakula katiba, ila wanataka kura ziibwe, utekaji wa mara kwa mara, mahakama kivuli, muungano wa kijinga wa tanganyika na zanzibarKinachoitwa Katiba Mpya ni matakwa ya machadomo,hakuna Mtanzania atakula Katiba Mpya
Hakuna anaeiba kura.Utekaji ni uhalifi inafanyika Dunia nzima.Ni kweli ,watanzania hawatakula katiba, ila wanataka kura ziibwe, utekaji wa mara kwa mara, mahakama kivuli, muungano wa kijinga wa tanganyika na zanzibar
Hayo ndo tunataka sisi watanzania, tukiendelea hivyo hivyo ,tutazidisha mapambio ya kumsifu mama
Mtu mzima asiyetishiwa nyau ni hao wananchi wenye nchi yao wanaolipa Kodi zao Ili ninyi mpate kiburi cha kuwajibu jeuri! Itafikia mahali watawachoka tu!!My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia ๐๐
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
Ni MWIZI MKUBWA kweli kweli huyu mchawi mdigo wa panganiMwache aendelee kupiga hela za Wakandarasi wa maji kupitia vi ten percent anavyojiwekea. Asijione hatumjui mambo yake anayoyafanya hapo Wizara ya Maji.
Tunamjua yeye ni mnufaika wahuu mfumo dhalimu hivyo hawezi ungainly mkono NO Reform No Election
Wananchi wenyewe ndio hao Machadema au?Mtu mzima asiyetishiwa nyau ni hao wananchi wenye nchi yao wanaolipa Kodi zao Ili ninyi mpate kiburi cha kuwajibu jeuri! Itafikia mahali watawachoka tu!!
Kama hujui faida ya katiba wewe ni maiti inayotembea!Faida ya Katiba Mpya ni ipi?
๐ฎ๐ฎ๐ฎKamanajua why hamfanyi vurugu na unyakuzi?
Endeleeni tu kuwaprovoke Wananchi kwa kuwaibia kura zao wakihoji mnawatishia violence.Kamanajua why hamfanyi vurugu na unyakuzi?
HUYO MSHIRIKINA ANYAMAZE.My Take
Ujumbe uwafikie,kazi na Utu tunasonga mbele na Samia ๐๐
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1900117968165466240?t=2zG-dRt2dsIch-RiF7kLpA&s=19
Inamaana Hao mapolisi laki moja ni nje ya watanzania million 60?naunga mkono hojaNi mjinga tu anayefikiri kuwa mapolisi laki moja wanaweza kuzuia Watanzania milioni 60.
Kila kitu Rais ujinga sana huu.Watu wa wapi hao? Kule ambako Bado hawajapata Kuna mradi eg Songea ๐๐
View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1900100579462095080?t=b0x1_crmc2PADKDlePwDWQ&s=19