Juma Ayo: Kwa jezi hizi mpya za Yanga Sheria Ngowi akamatwe

Juma Ayo: Kwa jezi hizi mpya za Yanga Sheria Ngowi akamatwe

Faida gani wakati kwenye taarifa wameficha madeni wanayodaiwa na Luc Eymael pamoja na wale Wacongo wanaoendelea kushinikiza kuvunjiwa mikataba?
Basi utuwekee hiyo taarifa yako inayoonesha hayo madeni. Na kama Mhindi anaona kuendesha klabu ni hasara, abwage manyanga ili timu apewe Mzee Kilomoni.
 
"Nimeziona jezi mpya za Yanga, huyu Ngowi akamatwe, zile jezi ni balaa tupu. Yanga mmetisha sana." Juma Ayo
Je, kwanini timu zingine zisijifunze kwa Yanga since maendeleo hayana Chama?
1688633913510.png
 
Tatizo ni watanzania kupenda shortci.

Ngowi ni cloth designer anajua nini anafanya.

Wengine kisa mtu anajua photoshop anapewa tender.
Sio kosa kujifunza.
 
Kama kwa jezi hizi unasema anajua, basi watu tunatofautiana sana katika perception
1. Point yangu ni kwamba analeta taste tofauti kwenye tasnia ya jezi (hapa tuwe wakweli), design yoyote ile lazima iwe na hadithi nyuma yake ili kuipush iweze kukubalika/ kuuzika . (rejea jezi za wenzetu ulaya). Kibongo bongo mpaka sasa ameonesha ana kitu.


ni kweli hatuwezi kuwa sawa kwenye mitazamo hilo sipingani nalo.
 
1. Point yangu ni kwamba analeta taste tofauti kwenye tasnia ya jezi (hapa tuwe wakweli), design yoyote ile lazima iwe na hadithi nyuma yake ili kuipush iweze kukubalika/ kuuzika . (rejea jezi za wenzetu ulaya). Kibongo bongo mpaka sasa ameonesha ana kitu.
Jaribu kuwahoji masahabiki 10 wa Yanga randomly kuhusu ubunifu wa jezi, halafu uje na majibu uone wangapi wana habari ya story nyuma ya ubunifu. Watu wako interested na mpangilio wa rangi, wala si story hizo, na ukikosea mpangilio wananyong'onyea sana na kuonekana wanyonge. Mfano ni wa zile jezi za majumbajumba maarufu kama sensa ya makazi
 
Jaribu kuwahoji masahabiki 10 wa Yanga randomly kuhusu ubunifu wa jezi, halafu uje na majibu uone wangapi wana habari ya story nyuma ya ubunifu. Watu wako interested na mpangilio wa rangi, wala si story hizo, na ukikosea mpangilio wananyong'onyea sana na kuonekana wanyonge. Mfano ni wa zile jezi za majumbajumba maarufu kama sensa ya makazi
Mbaya siko kiubishani na ni ngumu kupata takwimu kwa urahisi kuweza kusupport chochote tutakacho bishania.

Hiyo sensa ya makazi ni a story gone wrong , supporting your statement on different perspectives za watu kwani dhumuni halikiwa baya bali wapokeaji.

All in all siyo mbaya kusifia wanapofanya vizuri.
 
Vimba mwananchi!!!!!!!!!!!!!!!


 
Back
Top Bottom